Offside nyingine???

nyingine ya wapi.....mbona hakuna kitu
 
he he....aaaah wapi....nimeiona offside lakini......

sana tuu, bahati mbaya filimbi nilisahau nipo iweka. Kibendera nae alikuwa anasinzia. Lakini tutakupa kadi next match.
 
hakuna kitu nimeona nanii ya Preta tu hapa
 
Labda hiyo ndio "open relationship" tuliyoambiwa na Afrodenz kwenye thread fulani huko MMU
 
Kikulacho ki nguoni kwako............LOL
 

nilikuwa sijawahi kuiangalia hii picha vizuri, leo ndio nimeiona baada ya jamaa kuzungumzia habari za bendera

kuna post nimeiona leo jamaa anashindwa kujua ni kwa nini kufuli nyekundu zinampagawisha, nadhani hii picha ndio background yake kwenye computer yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…