Ndugu usiogope Mtu mwenyewe kumbe wa IT situnaflsh maprogram yote kijeshijeshi tunaanza upya -Mi ningeogopa sana kama angekuwa mkuu wa pale Ngelengele au Monduli
sasa kama keshapita kote huko ngerengere, monduli n.k.? Hawa jamaa wako siku nyingi sana ndani ya majeshi yetu even ndani ya tiss, watanzania tunaona sifa tukiambiwa wakarimu kwa kuruhusu wageni bila hata kuhoji.
Kumbe ndiyo maana kajamaa kana kidomo domo sana! Yaani mpaka mamluki anafikia cheyo cha Luteni Kanali hagunduliki tu?? Naanza kupata wasiwasi na intelijensia ya JWTZ.
Aisee hata Kikwete mrundi! Bagamoyo waliwekwa watumwa wenye afya mbovu kama baba yake
Wewe ndio hujui kitu kwa cheo chake yule anaujuzi wa kuwa mkuu wa kikosi chochote angeweza kupelekwa ngerengere kuwa co au mkuu wa chuo au monduli kuwa co au mkuu wa chuo IT ni sifa ya ziada sio inayompa vyeoNdugu usiogope Mtu mwenyewe kumbe wa IT situnaflsh maprogram yote kijeshijeshi tunaanza upya -Mi ningeogopa sana kama angekuwa mkuu wa pale Ngelengele au Monduli
Utasemaje alikuwa anafuatiliwa kwa "darubini kali" wakati ametoweka without a trace na manyaraka yenu ya kijeshi na hamjui alipo???Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ,
Msemaji wa JWTZ nae kituko, eti hili swala "naliogopa." Yani hata mimi ambae sijasoma hata darasa moja la mass communication nisingeweza kusema suala la ofisi yangu, ambalo mimi ndio natakiwa kuliongelea, "naliogopa." Hawa wazee masikini hawana exposure hata za kuangalia ma TV ya nje waone spokespeople wanavyojibu maswala magumu ya kinchi? Msemaji wa Jeshi anaiambia nchi hili swala "naliogopa."Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba, alipoulizwa na gazeti ...."Jamani suala hili ni zito, naliogopa, nyinyi hamlioni kama ni zito? .... mbona wanajeshi wengi wanatoroka na hamripoti! Waliotoroka ni wengi, wangine wametorokea Rwanda na kwingine nawamefungwa.
Kikwete ana nini na rwanda???Duh huyu Kagame ana nini na Tanzania !.
Kikwete ana nini na rwanda???
Matokeo ya kauli za dharau zinaliingiza taifa kwenye matatizo makubwa.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums