Ofisa JWTZ ahofiwa kutorokea Rwanda

Hebu tuisadie serikali kama kwenye madawa ya kulevya. Tutaje hawa wanyarwanda na nyadhifa zao ndani ya taifa.
 

Mipaka ya Nchi yangu imechorwa Mioyoni mwetu na Siyo Aridhini-Sio rahisi kwa nchi yenye makabila 200 na zaidi kuwa na Taifa imara lenye uzalendo!Pita TRA,Bank Kuu,Mabalozi wetu huezi pata taabu kujua aina ya Taifa hili-
Kila mtu analipa kodi lakini kuna mikoa huduma muhimu zipozipo mingine Olaa!Hakuna utartibu wa kumpongezana tunasubiri kufahamiana siku ya majanga tu- binafsi sijapata kusikia Rais amekutana au ametoa nishani kwa Mwalimu bora,Daktari shujaa au Injinia kwa kazi zao bora badala yake utasikia habari za wasanii,mateja n.k.Sijui tutafika lini?
 

Sio nyota mbili. Ni bibi na bwana na nyota moja. Ni cheo kikubwa kwa kweli.
 
Yes, your are right! All the above questions have to be answered analytically!

Nyie acha mwazo ya vijiweni tu. Wewe unafikiri yaani Rwanda waje kutuvamia iweje? Wachukue Tanzania? Halafu iweje kwao? Jamani tumia huu muda kufikiri cha maana baada ya kuupotezea ktk mambo ya vijiweni. So what kama ameondoka na IT information?
 
Jeshi hapo linawanyawanya juu ya Siri hizo itakuwa ni zile za Tanzania kuingia kichwa kichwa Congo... pengine kuna kitu hapo na siri zikianikwa ni mwaka mpya wa Kuumbuana huu umefikia.... Wamemwaga Mboga sasa Ugali ndio unaofuata.... Chezea Kagame wewe ukijifanya Jeuri mwenzako anakufanyia Kusudi.....



Oye oye oye hule hule hule.... Atoe na Siri za Mtwara kabisa ... Mwaka huu Tutajua Mengi
 

Be careful, Lt Col hana nyota mbili. Ana ngao moja ya bibi na bwana na nyota moja. Ni baada ya cheo cha major. Ukiwa na degree unaanza na nyota moja ie luteni usu au 2nd Lieutenant. Mwenye nyota mbili ni Luteni. Lt Col ni ofisa mkubwa anaweza kuongoza kikosi. cheo kinachofuata hapo ni Kanali then Brg Gen.
 

hotel baada ya kujegas i ngumu san akuonyesha faida kiduchu:
Imagine ujenziwa chumba kimoja:Chenye ubora wa kuta nilango na nakishi zake:Vitanga, jaccuzi , A/C, seif nzuri,TV nzuri, Computerized Door Lock, etc besi yake nadhani unaweza on amud agani itarudi kwa malipo ya siku /Mwezi, gharama za kila siku km kubadili mashuka, kufua, kusafisha chumba, umeme, charge za TV/simu, pragramin ya cards za door lock, etc...renocavation ktk muda fulani kutokana na class ya hiyo hotel.

Kwa ujumla investment+ recurring running costs(recurring) ni rahisi kabisa kuficha kodi hata grace preriod ikiisha renovation inaweza rudisha issue to ground zero.

Najau watu wanaofany akazi ktk hizo hoteli elimu zao ni za kuungaunga hata km wanaweza kufanya kazi ila wengi hawajiwezi ktk idara nyingine za miasha yao.Wenyewe ni wazuri sana wa kuzungukana kwa boss, kwa kiasi ch akujenga ligi ingine ambayo inaelekea ndugu yako anataka shuka ktk hiyo ligi.Anaweza kuwa ansababaisha hasara pia sana kwa uzembe kiasi ch akufanya alpishwe sana fine anazosababisha jamaa ali refund wateja.Au pengine ndugu yako kakubanganya kipato chake, sasa hela aliyopewa kaila kabla ya tar moja kaamua kupiga fix hajapokea.


Mrema hana hizo shida,ila hapendi mizaha kazini kwani yeye mwenyewe ni mtu wa kazi hana mapozi.
 
mbona kama mkuu wetu wa jwtz kafanana na kagame te he te he tusije tukawa tunamtafuta mdogo kumbu mkuu wao naye kagame memba((((((((((( JUST A JOKE))))))
 

Haha...sijui how visible are they in your heart....ila tayari tuu kwa mifano yako ni wazi una taabu ya kubalance uzalendo na chuki /kinyongo kilichopo rohoni ambacho msingi wake ni uongo wa failures fulanifulani ktk hii nchi.

Mikoa iliyopendelewa imekufa kwa uzembe wa watu wake kw akiasi ch awao wenyewe kutojipa kipaumbele.Amini usiamini mpe raisi yeyote wa nchi hi asitoke mikoa ambayo watu wanai hofia kuwa imependelewa.Mpe huyo rais mawaziri wa kutosha tena kipindi hichi taboo zimevunjwa bado akitoka hakuna kitu atarudi mitaani kulalamika tena.

Si unaona JK kaingia na top layer kubwa yenye waislam, kajenga base ya kijinga sana na kuwaongezea hawa jamaa sauti ya kualalamika badal aya kubadili maisha.Very soon hii lawama itawarudisha chini JK akiwa hayupo watalia zaidi.Kwa anayewajua watu wa Bukoba, na kilimanjaro atakubali ktk harambee..na hakuna anayesema sijui huu ni mradi wa mtu.Wale jamaa hawaogopi sijui watalogwa kwao..kingine hao watu wa hiyo mikoa unayoona imelala,hujawahi kaa nao ktk vikao au kuwasikia ktk sera za nchi..huwa hawajiandai sana kwa ajili ya mikoa yao.Ukitaka mtegea mtu wa Sumbawanga mpe idea halafu mpe cheo...atakuambia anataka kwenda fanya huo mradi arusha..akili yake ni kwamba atapata per diem kubwa Arusha bil mateso km hatobaki dar au nje ya nchi.

Sasa hizo fani nyingine hat akam si rais hata mawaziri wa wizara husika km zingekuwa na fund raising project toka kwa makampuni ili kila mwaka watoe nishani na zawadi km bati, au hata kujengewa nyumba hao wafanyakazi.ni wazi watu wangechapa kazi..nakumbuka hata wazazi zamani walikuwa akiwapa zawadi walimu, askari, na watumishi wengine mahiri hadi ktk makanisa.
 

Kama siku moja niliwahi waambia watu kuwa kipindi ch avita rwanda.. wapo wanafunzi wa secondary na vyuo walirudi kwako kupigana vita na baadaye kurudi kuendelea na shule...ni wazi vijana hao wengi walifikia ktk mafunzo mazuri ya kijeshi.Wakipewa mbinu na waliporudi kusoma walikuja na mikakati mingi tusiyoijua.


Vichwa vya lumumba km akina Ritz, hammy, na wengine wanajita wazalendo number moja, sijui nini na nini ,wameishia kutoa matusi mengiii..na kujigamba na jeshi ambalo lipo very porous...wanapiga raia tuu kujipima.Sijui km kupiga raia kunasaidia sana jeshi ambali linahitaji sana inteligentia ya raia.
 
Dah! Kama alikuwa anafanyia ktk kitengo cha IT we are finished

km kulikuwa kuna internet dropbox and the sort zitakuwa imefanya kazi nzuri sana.kagame atakuwa kalipa package ya juu kabisa ili awe na karibu unlimitted size.

Hata km hakuwa kihivyo akijenga tabia ya kuongea na majeshi yetu na wakuu wa vitengo amabo wengi ni mavyeti tuu..kwa namna ya kuwasifia kili wampe historia ya vita vya uganda na vingine, ni wazi kuwa jamaa watakuwa kila mara wanamwagika tuu, na pia watampeleka ktk server room , na kumwonyesha vitu vingi sana kabla ya kumwambia dogo unahitajia jituma ufikie hapa.......mara nyingine kumwachia afanya tas fulani wakati wao wakienda kupata bia za bei chee.

You canta believe ukitaka kuwachota majeshi yetu..bahatika pata bia nao..halfau uwape space ya kujipa sifa, wape medemu, halafu uwe msger wao..Kila siku watakuwa akituma vitu vyenye info za kutisha...

Jamaa awanajiamini kiajabu kwelikweli.
 
Duh! Kumbe Mchungaji Mtikila alisema kweli.

jamaa km kakosea ni zile info ambazo kagame kashtuka na kuamua tumia plan B...Wabongo nasi tuanze jenga, inteligentia yetu ya kupipe info haraka kwa majeshi yetu.Kazi kwakuchuja,ili na hawa jamaa nao wakitaka ingiza zao za kutupoteza.
 

Acheni uzushi hao watu walijipenyeza baada ya pk kushika madaraka? au ni raia watanzania? ndio maana nasema kua na uraia watanzania haufai kwa wakati wowote wanakuita muhamiaji haramu huyo jamaa kaondoka miezi mitatu imeisha leo ndio munalizua ili muanze kunyanyasa na hao wenye uraia.
 
Hakuna kitu hapo huyo ofisa hawezi kuwa na jipya ht km akikimbia na nini

tusijifariji hii n hatari kama kaanza akiwa PTE mpaka sasa ni luten kanari kapitia kambi ngap? Na tujue siyo huyo peke yake wapo weng.
 
Sijui kwa nini 'kipeperushi' hiki Mtz J.pili kinapenda kukuza suala la rwanda. Kila wiki kagame kagame. Hamna kingine cha kuandika?

Mkuu tutaanza kuandika kuhusu familia yako sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…