Sijui kwa nini 'kipeperushi' hiki Mtz J.pili kinapenda kukuza suala la rwanda. Kila wiki kagame kagame. Hamna kingine cha kuandika?
Mkuu Nicholas sijuhi sakata hilo kama kuna kitu Taifa letu lilijifunza kuhusu umahili wa PK. Saga nzima hii mbona imekaa kiajabu kidogo, inaigia akili kweli kwamba Admin ya Kigali ingeweza kumu-apprehend jamaa huyo bila ya kupata msaada from within(TZ)? PK na wenzake wengewezaje ku-track movement ya muhusika, au jamaa huyu alikuwa amefungwa a tracking system kwenye nguo zake za ndani au alikapewa saa ya mkononi kama zawadi kumbe ina apps za GPS zinazo shirikiana na mtandao wa ku-roam wa GSM bila ya yeye kutambua kinacho endelea - kumbe makomando wa PK wako mpakani na Tablet/Laptop zao waki-track movements zake zote on a digitised map ya East and Central Africa!! Nalisema hili kama utani vile, lakini tukio hili linaonyesha kwamba Taifa letu lina active moles in higher places from within/out, tuwe makini SANA. Najua Mh.JK ni mwanajeshi makini sana anayejali sana usalama waTaifa letu, lakini na usalama wake nao una-count a MEGA TIMES. Tusijidanganye kwamba vitisho vya PK wenda hikawa ni danganya TOTO, neh - mtu ambaye yuko highly umpredictable kama alivyo PK hapashwi kumchukulia kimzaa mzaa, mambo yanavyo onekana TISS inapashwa kuingilia kati fasta kwa (KU-VET) wafanyakazi wote wanao mzunguka Mh.JK bila ya kujali wadhifa wao save ndugu wake wa DAMU/Nasaba, waende mpaka vijijini kufatilia backgrounds zao kwa kina kama ilivyo kuwa inafanyika enzi za Kambarage, we don't like suprises kama hizi za a high ranking Military officer kugundulika kumbe ni mole wa nchi jirani - hatutaki kushtukia incident kama hizi zikihibuka pale magogoni. Mimi ndio ushauri wangu huo, lakini kadri ninavyo lifahamu TAIFA letu sina shaka kazi hii imekwisha wekwa sawa siku nyingi tu, lakini si mbaya tuki-revisit tena kutokana na current events/situation.Haha....umewahi jiuliza saga lilipoanza "KUNA JAMAA KAGAME WALIKUWA AKIMTAKA NA MAHAKAMA ZA KIMATAIAFA PIA" akatoka kongo na kuja dar kuongea na kiongozi wa Tanzania, wakati anarudi makomando wa Rwanda wakamchukua mpakani.Ni wazi kuwa hata huyo km amefika mpakani watakuwa wamemvusha..anaweza pitia kongo kampala kutoke anairobi na bishara ikaisha.
Kutokea Mamluki jeshini au usalama sio jambo la ajabu kwenye masuala
ya ULINZI SA Taifa.......Kila nchi INAO fungu la ku recruit ."....Askari
wa nchi kadiri ys risk of war....kwa ajili ya kuwapa taarifa......"..
pia inawezekana kabisa ku plant informers pale jeshi husika
linapotangaza kuajiri Askari ....
Hii ishu ya Sagamba .ipo kwenye corridors za mambo ya usalama kwa miezi
mitano iliyopita lilipotoka.......wenzetu wanapenda ku recruit Watu wa
pembezoni.
Adhabu ya kufanya ESPIONAGE inajulikana ni KIFO ......kunao maafisa
kwenye ngazi mbali mbali
wanaofuatiliwa........wakipotea...msiwasikitikie....that is the rule of
the game....
NI kwa vile tuna kiburi kw akufanya operation ambazo zina limited threat....huku tukiwa na maaudui ambao bado ni wanafunzi wetu au wamebanwa ktk resources na experiences.Ila kwa muda wote PK akiwa nakubalika na mataofa ameweza traian watu wake, kattumia nchi km uganda hata kongo kuleta watuw ake kujifunza kwetu kwa lengo moja la kujipima napengine waipewa unlimitted access ili waweze kwenda kufanya kazi ya TZ na pengine walikuwa walikileta maelezeo fulani ili kusimlate jeshi letu kufany amafunzo yanayokusudiwa zuia threat fulani yao ya uongo ili kujua uwezo wetu wa kukabilia na vitu fulani.Mkuu Nicholas sijuhi sakata hilo kama kuna kitu Taifa letu lilijifunza kuhusu umahili wa PK. Saga nzima hii mbona imekaa kiajabu kidogo, inaigia akili kweli kwamba Admin ya Kigali ingeweza kumu-haprehend jamaa huyo bila ya kupata msaada from within(TZ)? PK na wenzake wengewezaje ku-track movement ya muhusika, au jamaa huyu alikuwa amefungwa a tracking system kwenye nguo zake za ndani au alikapewa saa ya mkononi kama zawadi kumbe ina apps za GPS zinazo shirikiana na mtandao wa ku-roam wa GSM bila ya yeye kutambua kinacho endelea - kumbe makomando wa PK wako mpakani na Tablet/Laptop zao waki-track movements zake zote on a digitised map ya East and Central Africa!! Nalisema hili kama utani vile, lakini tukio hili linaonyesha kwamba Taifa letu lina active moles in higher places from within/out, tuwe makini SANA. Najua Mh.JK ni mwanajeshi makini sana anayejali sana usalama waTaifa letu, lakini na usalama wake nao una-count a MEGA TIMES. Tusijidanganye kwamba vitisho vya PK wenda hikawa ni danganya TOTO, neh - mtu ambaye yuko highly umpredictable kama alivyo PK hapashwi kumchukulia kimzaa mzaa, mambo yanavyo onekana TISS inapashwa kuingilia kati fasta kwa (KU-VET) wafanyakazi wote wanao mzunguka Mh.JK bila ya kujali wadhifa wao save ndugu wake wa DAMU/Nasaba, waende mpaka vijijini kufatilia backgrounds zao kwa kina kama ilivyo kuwa inafanyika enzi za Kambarage, we don't like suprises kama hizi za a high ranking Military officer kugundulika kumbe ni mole wa nchi jirani - hatutaki kushtukia incident kama hizi zikihibuka pale magogoni. Mimi ndio ushauri wangu huo, lakini kadri ninavyo lifahamu TAIFA letu sina shaka kazi hii imekwisha wekwa sawa siku nyingi tu, lakini si mbaya tuki-revisit tena kutokana na current events/situation.
Angefikia
cheo cha Brigedia
Jenerali ningehofia sana Mkuu, Luteni Kanali ni Askari mwenye Nyota
Mbili. Hata wewe ukiwa na Degree unaanzia Cheo hiko ndani ya JWTZ. Huyu
Askari amekimbia mapema sana, bora amekimbia akiwa na hiko cheo. Bado
nafikiria kilichomkimbiza.
Kumbe wewe unafahamiana naye huyo jamaa? Unajuaje kama aliondoka miezi mitatu ilivyopita? Maana migogoro na Kagame imeanza mwezi wa sita mwanzoni, ina maana wakati migogoro inaanza jamaa alikuwa ameshaondoka? Acha uzushi wewe. Au wewe ni mmojawao hao waliopenyezwa nchini?Acheni uzushi hao watu walijipenyeza baada ya pk kushika madaraka? au ni raia watanzania? ndio maana nasema kua na uraia watanzania haufai kwa wakati wowote wanakuita muhamiaji haramu huyo jamaa kaondoka miezi mitatu imeisha leo ndio munalizua ili muanze kunyanyasa na hao wenye uraia.
Mkuu Nicholas sijuhi sakata hilo kama kuna kitu Taifa letu lilijifunza kuhusu umahili wa PK. Saga nzima hii mbona imekaa kiajabu kidogo, inaigia akili kweli kwamba Admin ya Kigali ingeweza kumu-apprehend jamaa huyo bila ya kupata msaada from within(TZ)? PK na wenzake wengewezaje ku-track movement ya muhusika, au jamaa huyu alikuwa amefungwa a tracking system kwenye nguo zake za ndani au alikapewa saa ya mkononi kama zawadi kumbe ina apps za GPS zinazo shirikiana na mtandao wa ku-roam wa GSM bila ya yeye kutambua kinacho endelea - kumbe makomando wa PK wako mpakani na Tablet/Laptop zao waki-track movements zake zote on a digitised map ya East and Central Africa!! Nalisema hili kama utani vile, lakini tukio hili linaonyesha kwamba Taifa letu lina active moles in higher places from within/out, tuwe makini SANA. Najua Mh.JK ni mwanajeshi makini sana anayejali sana usalama waTaifa letu, lakini na usalama wake nao una-count a MEGA TIMES. Tusijidanganye kwamba vitisho vya PK wenda hikawa ni danganya TOTO, neh - mtu ambaye yuko highly umpredictable kama alivyo PK hapashwi kumchukulia kimzaa mzaa, mambo yanavyo onekana TISS inapashwa kuingilia kati fasta kwa (KU-VET) wafanyakazi wote wanao mzunguka Mh.JK bila ya kujali wadhifa wao save ndugu wake wa DAMU/Nasaba, waende mpaka vijijini kufatilia backgrounds zao kwa kina kama ilivyo kuwa inafanyika enzi za Kambarage, we don't like suprises kama hizi za a high ranking Military officer kugundulika kumbe ni mole wa nchi jirani - hatutaki kushtukia incident kama hizi zikihibuka pale magogoni. Mimi ndio ushauri wangu huo, lakini kadri ninavyo lifahamu TAIFA letu sina shaka kazi hii imekwisha wekwa sawa siku nyingi tu, lakini si mbaya tuki-revisit tena kutokana na current events/situation.
SIO LAZIMA KUCHANGIA KAMA HUJUI KITU,KUSOMA NA KUPITA PIA NI NJIA YA KUFAHAMU (Tafuta commanding order/chain of command uijue hiyo rank)Angefikia cheo cha Brigedia Jenerali ningehofia sana Mkuu, Luteni Kanali ni Askari mwenye Nyota Mbili. Hata wewe ukiwa na Degree unaanzia Cheo hiko ndani ya JWTZ. Huyu Askari amekimbia mapema sana, bora amekimbia akiwa na hiko cheo. Bado nafikiria kilichomkimbiza.
Angefikia cheo cha Brigedia Jenerali ningehofia sana Mkuu, Luteni Kanali ni Askari mwenye Nyota Mbili. Hata wewe ukiwa na Degree unaanzia Cheo hiko ndani ya JWTZ. Huyu Askari amekimbia mapema sana, bora amekimbia akiwa na hiko cheo. Bado nafikiria kilichomkimbiza.
Angefikia cheo cha Brigedia Jenerali ningehofia sana Mkuu, Luteni Kanali ni Askari mwenye Nyota Mbili. Hata wewe ukiwa na Degree unaanzia Cheo hiko ndani ya JWTZ. Huyu Askari amekimbia mapema sana, bora amekimbia akiwa na hiko cheo. Bado nafikiria kilichomkimbiza.