Ofisa JWTZ ahofiwa kutorokea Rwanda

jk hana tofauti na halima mdee kijeshi wote ni makuruta wa jkt, hivi inawezekana mwalimu wa katiba ya CCM jeshini akapanda mpka kuwa kanali.
Hii kali!! Mkuu vijana wote wa lika la Mh.JK waliokuwa wanamaliza FORM SIX walikuwa wanapashwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria kwa muda wa miezi sita kabla hawaja jiunga na Vyuo Vikuu nk - kwa hiyo mambo ya ukruta na kupiga fang fang lillikuwa jambo la kawaida kabisa. Mkuu naona uamini kwamba mwalimu wa siasa anaweza kupanda cheo mpaka kufikia ngazi za juu, nashanga sana kwa nini unauliza swali hilo, je una uelewa gani kuhusu mfumo wa kijeshi? Hivi unafikili jeshini hakuna Mainjinia(Electrical, Mechanical, Electronics, Communication, Civil, Computer etc) wenye vyeo vya Lt.Kanali, Wadaktari Wenye Vyeo vya Lt.Kanali, (Wanauchumi, Agriculture, Political Commissar)-wenye vyeo vya Lt.Kanali and above. Sasa nakwambia hivi ma ofisa wote hao wanapitia kwenye tanuri la moto kabla hawaja tunikiwa nyota, hakuna cha lele mama kuna wengine upoteza maisha yao wakiwa kwenye mafunzo/mazoezi i.e - nyota hazitolewi kwenye silver plate. Jeshini kuna division of labour kama zilivyo establishment nyingine, siyo kila mwanajeshi yupo kwenye kikosi cha Infantry. Kwa hiyo mkuu uwezi kusema mwalimu wa siasa jeshini (wakati huo) si lolote si chochote, mtu ambaye aelewi vizuri suala la vyeo JESHINI anaweza kusema lolote due to ignorance.
 

Unless unataka niambia hujui kabisa kuna first time...hata france hawakuwahi amini kuwa senegala wangewapiga bao.Ingawa walishaona Brazil ilichomfanya Ureno kwa miaka nenda rudi, au Agentina na spain.

Jomo Kenyata ulimuona hivyo kwa sababu ya back ground values,zao Pro life huwa hawapendi fanya suicidal actions.Idd Amin hakuwa pro life na kwa taarifa yako alimaanisha alichosema...kuna mengi sana ya kushangaza n akuchekesha Idd amini alisema kw auhasilia wake, na jinsi fikra zake zilivyomuonyesha yupo sahihi.Sijui kwanini unataka danganya hapa tena....Sijui na wewe ni suicidal.

Kuna kitu suschokijua, kuna matukio fulani na values fulani chache sana zinazoweza geuza watu na kuwafanya wapende asili yao kuliko utaifa.Kwanza Dini....,pili kabila..mtu asiyeogopa ,au kulionea aiu kabila lake haswa anapojion akuwa yupo si sehemu ya watu wa taifa jipya, au kuchukia watu wanaodhalilisha watu wake.ni rahisi sana kugeuza mapenzi ama kwa uwazi ama kwa siri....unless na watu wake wamkatae.

Sijui unabisha ku achive nini hapa, economic refugee ndio wana imune na hali ziwafungazo wengine?Wazungu kila siku wanaoana na watu wa mataifa wanaotaka uchumu tuu, ulaya watu wanakimbilia uraia kule il ahawana uzalendo kule......wazenj waliopo serikali ya Bara hawana uzalendo kabisa na si bara tuu il ahata nchi kabisa,kwani wanatakamani sana Sultani awe kiongozi wao wa maisha..

Waislam wangapia wamesoma Seminary na leo wapo tayari kuongea uongo dhidi ya makanisa huku walishuhudia wafadhili na volunteers wakija na hela, wakijitolea kil akitu kuanzia majengom hadi upishi na mengine.Unadhani kwanini...
 
mleta uzi kaja kuwatisha tu mbona hazungumzii wa tanzania walioko katka jeshi la rwanda ambae wa cheo cha juu sasa ni kanali au majasusi wa tz waliopo vyuo vikuu vya rwanda kama malecturers

nachelea sema mengi ..sijui km Universities za kiraia zina urahisi hivyo wa kuchunguza jeshi..kwani hata Waliosoma na kuwa malecturer wakubwa tuu mzumbe, UDSM, etc wapo rwanda sasa hivi ni mawaziri, ingawa walikuwa ni raia tanzani tena waliohesabika kuwa ni wa Ngara, wahaya au makabila mengine ya magharibi mwa nachi hii.
 
me yupo room mate wangu mmoja ni pure mtutsi na huwa anaipenda sana Rwanda na Kagame
 
Sidhani kama uko right sana hapa Vipi Professor Barack Obama yeye si Mkenya tu lakini sasa ni president wa YUESIEI
 

tatizo serikali yetu haishauriki inasubili litokee kwanza ndio waanze kulifanyia kazi.
 
Tatizo sio Raia wa Nchi Fulani kufanyia nchi nyingine, iwe Mrwanda, Mganda Mkenya nakuendelea, tatizo ni Committment a mtu huyo kwa nchi anayo fanyia kazi, mtu huyo akitaka kutumikia mabwana wawili au mtu mwingine, basi huyo hafai. Na Tatizo watu wengi wageni au wasio na asili ya nchi husika, in general terms hawana committment, kwa USA unaweza usiwe na committment lakini kwa resource waliokuwa nazo wanaweza kukufuatilia nyendo zako kabla hujaleta madhara. na wakati wa Mwl security system yetu mara nyingi ilikuwa ahead of events.
 
Sidhani kama uko right sana hapa Vipi Professor Barack Obama yeye si Mkenya tu lakini sasa ni president wa YUESIEI
Usiongee jambo usilokuwa na uhakika nalo.

Obama alizaliwa na mwamanke wa kutokea Kansas Marekjani, aliyepewa ujazuzito na mwanaume kutokea Kenya. Obama alilelewa na babu na bibi yake wa huko Kansas ingawa alitumia muda kidogo huko Indonesia baada ya mama yake kuolewa kule. Obama si Mkenya ila ni mmarekani! Kabla hajagombea urais alikuwa State Senator wa Illionis kwa muda mrefu kabla hajawa US Senator na baadaye kuwa Rais wa Marakeni. Obama kuwa na ndugu huko Kenya, hakumfanyi awe mkenya; ana ndugu pia huko Marekani, Indonesia, Canada, na China. Hata Rais Kennedy alikuwa na ndugu zake huko Ireland!

Itakusaidia sana iwapo hutakuwa unakurupukia mambo usiyyoyajua kwani kufanya hivyo unakuwa unatangaza udhaifu wako, jambo ambalo siyo zuri
 
Hapa inatakiwa watu wawajibike sana!
Inawezekenaje akatoroka wakati jeshi letu limekuwa likimfuatilia? Nani kamtorosha na wahusika wa hilo tukio wako wapi?
Kuna maswali mengi yanayotakiwa kujibiwa!

maana yake hawa waliokua wanamfuatilia baadhi yao wana uhusiano nay ndo maana akapata data na kusepa
 

Kweli kabisa ....role za watu kama Brigadia Moses Nnauye ambaye naye alikuwa commisar wa siasa kama JK ...ILIKUWA kubwa hasa kuwapa HAMASA NA KUWATIA MORI NA KUWACHOCHEA [UCHOCHEZI] askari pale wanapoelekea kushindwa..asikudanganye mtu ...kwenye mapigano unaweza kuwa na kila kitu...lakini ukakosa morali......ukapigwa ...hapo ndipo watu kama Nnauye au Natepe wanaojuwa kucheza na mindset za askari walipokuwa wakiitwa na kupiga domo na askari.........wakimaliza tu askari wote wanasimama na kusonga mbele hapo ndio watu wa mitulinga ambao kusema sema hawajuwi kama Musuguri,Kiaro,Chacha marwa,Walden,Lupogo,Mayunga ........wanaswaga askari na kusonga mbele
 
huyu mtu katoweka ama katoweshwa? maana katanzania ketu nako tunakajua wenyewe kwa kucreate scenes tata halafu kanakaa pembeni.....wewe na mimi tunabaki hoi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kagame anamiliki Command ya watu 300 Daressalaam na Tanzania yote, Battalion hii ina utaalamu wa hali ya Juu katika mauaji (assasins) je yawezekana huyo mwana JW alikuwa mmoja wao?
 
kama kweli ni hatari, but what i know JWTZ ni hatari kuliko hari zote..
 
Hivi huyo Askari Wananchi wameshamfahamu na kumtambua au ndio mambo ya Jeshi hayavumi uraiani?
 
Kwahiyo na huu ulikuwaga uzushi.....!!
shikamoni wabongo
 
Hii Habari ingekuwa ni Leo hii gazeti hili lingefungiwa milele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…