Mkuu kama hauto jali nipe elimu kidogo ya kambi ya ngelengeleNdugu usiogope Mtu mwenyewe kumbe wa IT situnaflsh maprogram yote kijeshijeshi tunaanza upya -Mi ningeogopa sana kama angekuwa mkuu wa pale Ngelengele au Monduli
Mhhh,,,,,,,,,,!!!????Mkuu kama hauto jali nipe elimu kidogo ya kambi ya ngelengele
NotedKiroba baharini.
Na huu urafiki wa Mr slim na Yohana mbatizaji ni wa kheri??Naona Tanzania imejiondoa katika mkataba wa kuendelea kuwahifadhi wakimbizi na kuwapatia uraia.