Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Nenda kinondoni kwa kutumia mwendokasi, ukishashuka kwenye mwendokasi, vuka upande wa kushoto kwako, uliza/nenda hadi kwa dr mvungi hospital, ukifika ingia kulia.Na Mimi natafuta ofisi..hasa fremu zilizoshindwa kupangishwa due to location issues...
1. Nenda kinondoni kwa kutumia mwendokasi, ukishashuka kwenye mwendokasi, vuka upande wa kushoto kwako, uliza/nenda hadi kwa dr mvungi hospital, ukifika ingia kulia.Na Mimi natafuta ofisi..hasa fremu zilizoshindwa kupangishwa due to location issues...
Nashuka wapi? Manyanya, studio au??1. Nenda kinondoni kwa kutumia mwendokasi, ukishashuka kwenye mwendokasi, vuka upande wa kushoto kwako, uliza/nenda hadi kwa dr mvungi hospital, ukifika ingia kulia.
Baada ya hapo uliza nyama ya mbuzi wanauza wapi? Watakuelekeza kwa Shirima, ukiwa hapo kwa Shirima muuza nyama ya mbuzi, angalia upande wa juu kuna hiyo fremu inapangishwa (ina namba za simu), je inakufaa?
2 nenda bar ya MK ukitokea studio, sogea mbele kidogo ingia kulia, tembea sekunde 15 utaona fremu upande wako wa kulia, inapangiswa hiyo.
Ubarikiwe sana mkuuUkitaka kwenda fremu iliyo jirani na MK bar, shuka studio halafu tembea kwa miguu hadi MK.
Ukitakakwenda fremu ya jirani na dk Mvungi, shukia Kinondoni B, utaona jengo la ghorofa 3 kwa chini lina kama rangi ya matofali yaliyochomwa, nenda upande wa chini utaona frem yenyewe, ni ya tano kutokea kulia, ila ni ndogo.Niko mahakani, nikititoka nitachukua namba mlangoni, hii hapa nishaipata 0754745797
ya jirani na MK nitachukua namba kesho, nitapita maeneo yale.Ubarikiwe sana mkuu