OFISI YA DEO(huyo EVODIUS CHIPWELE) NI NANI BAGAMAYO MKUGENZI IFUNGE IDARA YA SEKONDARIHAIFAI.

OFISI YA DEO(huyo EVODIUS CHIPWELE) NI NANI BAGAMAYO MKUGENZI IFUNGE IDARA YA SEKONDARIHAIFAI.

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,162
Reaction score
796
Alijitahidi kuwapata walimu wapya aliowapangia sehemu za karibu karibu, operatio ilikuwa ukipata karibu unatoa tunda, evoduius huyo, na wakubwa wanajua wanamuangalia anakula wake zetu. maanina
 
Siku nitakayo mkamata! atasema amekula tunda langu mara ngapi, na atalipa
 
Chuki binafsi, "I judge like this, because the way you have reported it" lakini lisimwelo lipo, labda nami ashanichapia wangu kudadeki zake nafanya upelelezi then namnyopoa kidude chake
 
Poleeee,
Ifike siku administrators wawe HRM sio walimu wasiojuwa PRINCIPAS of MANAGEMENT
 
Poleeee,
Ifike siku administrators wawe HRM sio walimu wasiojuwa PRINCIPLES of MANAGEMENT
 
Hii ndo serikali ya CCM yenye utitiri wa watendaji wabovu.Huyo DEO wa B'moyo anafaa kuwekea tego.Bukoba manispaa nako kuna DEO anayawapendelea walimu wahaya wenzake kwa kuwapa fursa mbalimbali akiwabagua walimu wasio wahaya.
 
Back
Top Bottom