Ofisi ya DPP ifutwe au kunyang'anywa mamlaka ya kuonea watu yasiyo na kikomo wala kuhojiwa

Ofisi ya DPP ifutwe au kunyang'anywa mamlaka ya kuonea watu yasiyo na kikomo wala kuhojiwa

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Japo inaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi wengi maskini na wanyonge, ofisi ya Mwendesha Mashitaka mkuu wa Serikali (DPP) ni chombo au zana yenye kila ukoloni na uvunjaji wa sheria hasa kuwa na kile kisheria huitwa discretionary powers au mamlaka yasiyohojika.

DPP anaweza kutumiwa na watawala wabovu kuwaonea wapinzani wao kama ambavyo imejitokeza juzi kwenye skandali ya Dk Willibrord Slaa. Inakuwaje nchi huru iwe na taasisi inayoweza kutumia sheria itakavyo na iwe salama?

Licha ya kutumika kuwakandamiza hata kuwakomesha wapinzani, haiwezi kutumika kuwaachia huru wahalifu wenye uhusiano au kutumiwa na wakubwa?

Namuonea huruma classmate wangu Silvester Anthony Mwakitalu

Kama wenye nchi, kama kweli ni wenye nchi kama tunavyoambiwa, kwanini tusiwabane na kuwaagiza wabunge wetu wakabadili ofisi hii haramu na hatari?
 

Attachments

  • 1740689757476.png
    1740689757476.png
    195.5 KB · Views: 1
View attachment 3252613
DPP Silvester Anthony Mwakitalu

Japo inaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi wengi maskini na wanyonge, ofisi ya Mwendesha Mashitaka mkuu wa Serikali (DPP) ni chombo au zana yenye kila ukoloni na uvunjaji wa sheria hasa kuwa na kile kisheria huitwa discretionary powers au mamlaka yasiyohojika. DPP anaweza kutumiwa na watawala wabovu kuwaonea wapinzani wao kama ambavyo imejitokeza juzi kwenye skandali ya Dk Willibrord Slaa. Inakuwaje nchi huru iwe na taasisi inayoweza kutumia sheria itakavyo na iwe salama? Licha ya kutumika kuwakandamiza hata kuwakomesha wapinzani, haiwezi kutumika kuwaachia huru wahalifu wenye uhusiano au kutumiwa na wakubwa?
Namuonea huruma classmate wangu Silvester Anthony Mwakitalu
Kama wenye nchi, kama kweli ni wenye nchi kama tunavyoambiwa, kwanini tusiwabane na kuwaagiza wabunge wetu wakabadili ofisi hii haramu na hatari?
Wenye Nia NJEMA na nchi hii ni wazalendo wa kweli,kwa akili ya kizazi hiki na kijacho.Sheria kandamizi zinazoumiza wananchi kwa mgongo wa DPP,Bora zitafutiwe muarobaini!Ili nchi isiingie kwenye hofu ya kukimbiwa na watu wake,Wabunge tumewachagua wenyewe,Sasa kututungia Sheria mbovu ni kutukosea wananchi,wao wamejiwekea Kinga wasishtakiwe!Wabunge wetu,Mungu anawaona.
 
Ofisi ipunguziwe mamlaka na iwe nafasi ya kiushindani watu wapply, wawe shortlisted , wafanye interview na wafanyiwe vetting sio rais anaokoteza mpambe na kada wa CCM anambandika ofisi kubwa na nyeti kama hiyo matokeo yake anageuka rubber stamp.

Angalia jirani huko anavyofanya mambo.
images (7).png
 
Japo inaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi wengi maskini na wanyonge, ofisi ya Mwendesha Mashitaka mkuu wa Serikali (DPP) ni chombo au zana yenye kila ukoloni na uvunjaji wa sheria hasa kuwa na kile kisheria huitwa discretionary powers au mamlaka yasiyohojika.

DPP anaweza kutumiwa na watawala wabovu kuwaonea wapinzani wao kama ambavyo imejitokeza juzi kwenye skandali ya Dk Willibrord Slaa. Inakuwaje nchi huru iwe na taasisi inayoweza kutumia sheria itakavyo na iwe salama?

Licha ya kutumika kuwakandamiza hata kuwakomesha wapinzani, haiwezi kutumika kuwaachia huru wahalifu wenye uhusiano au kutumiwa na wakubwa?

Namuonea huruma classmate wangu Silvester Anthony Mwakitalu

Kama wenye nchi, kama kweli ni wenye nchi kama tunavyoambiwa, kwanini tusiwabane na kuwaagiza wabunge wetu wakabadili ofisi hii haramu na hatari?
Nchi inayoitwa bongo ipo kwa ajili ya maslahi ya watu wachache sana. Wengi wananyonywa kunufaisha hao wachache huku wakizubaishwa na Simba na Yanga na matumaini hewa kutoka kwa kina mwamposa.
 
Japo inaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi wengi maskini na wanyonge, ofisi ya Mwendesha Mashitaka mkuu wa Serikali (DPP) ni chombo au zana yenye kila ukoloni na uvunjaji wa sheria hasa kuwa na kile kisheria huitwa discretionary powers au mamlaka yasiyohojika.

DPP anaweza kutumiwa na watawala wabovu kuwaonea wapinzani wao kama ambavyo imejitokeza juzi kwenye skandali ya Dk Willibrord Slaa. Inakuwaje nchi huru iwe na taasisi inayoweza kutumia sheria itakavyo na iwe salama?

Licha ya kutumika kuwakandamiza hata kuwakomesha wapinzani, haiwezi kutumika kuwaachia huru wahalifu wenye uhusiano au kutumiwa na wakubwa?

Namuonea huruma classmate wangu Silvester Anthony Mwakitalu

Kama wenye nchi, kama kweli ni wenye nchi kama tunavyoambiwa, kwanini tusiwabane na kuwaagiza wabunge wetu wakabadili ofisi hii haramu na hatari?
utopian thinking and complains are useless and completely nonsense 🐒
 
Taarifa yao huwa inashangaza sana eti DPP hana nia ya kuendelea na kesi inaishia hapo ingekua ni Nchi zinazotawaliwa na sheria wangekua wanalipa sana watu na ndio maana nimegundua tunawalipa sana wageni kwa sababu hatupo vizuri kwenye Sheria na hapa kwetu tuna sheria za hovyo kuwahi kutokea..
DPP hana nia aisee...
 
I don't know if you know what you are saying and if you know even a gist of the meaning of nonsense. I have never seen a very spooky thinking like this of yours.
 
I don't know if you know what you are saying and if you know even a gist of the meaning of nonsense. I have never seen a very spooky thinking like this of yours.
and ofcoz you will never ever see a very crucial office like that dismantled or abolished in any country in the world, instead of establishing them much.

and by the way,
all suspects of crimes must be investigated 🐒
 
Ofisi ipunguziwe mamlaka na iwe nafasi ya kiushindani watu wapply, wawe shortlisted , wafanye interview na wafanyiwe vetting sio rais anaokoteza mpambe na kada wa CCM anambandika ofisi kubwa na nyeti kama hiyo matokeo yake anageuka rubber stamp.

Angalia jirani huko anavyofanya mambo.
View attachment 3252622
Hii ni mpaka sasa tuwe na Katiba mpya na itakayo mpunguzia Rais mamlaka. Na kwa bahati mbaya ccm hawataki kusikia mabadiliko yoyote ya Katiba itakayo waondolea ule umungu mtu waliojipachika tangu 1977!

Ni nguvu ya umma pekee ndiyo itakayotusaidia kufikia hii hatua ya kuwa na vyombo huru vya kimamlaka.
 
Kuna baadhi ya nyadhifa ni kweli unakua na pesa na mamlaka ila bila kua na roho mbaya, chuki na kutokua na huruma huwezi kufurahia maisha.
Mojawapo ndio hiyo, yaani muharifu anaachwa huru kwa mamlaka yako ukijua fika katenda kosa halafu mwenye haki ananyea debe kwa mamlaka yako ya gelesha uliyopewa na wakubwa.
 
Japo inaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi wengi maskini na wanyonge, ofisi ya Mwendesha Mashitaka mkuu wa Serikali (DPP) ni chombo au zana yenye kila ukoloni na uvunjaji wa sheria hasa kuwa na kile kisheria huitwa discretionary powers au mamlaka yasiyohojika.

DPP anaweza kutumiwa na watawala wabovu kuwaonea wapinzani wao kama ambavyo imejitokeza juzi kwenye skandali ya Dk Willibrord Slaa. Inakuwaje nchi huru iwe na taasisi inayoweza kutumia sheria itakavyo na iwe salama?

Licha ya kutumika kuwakandamiza hata kuwakomesha wapinzani, haiwezi kutumika kuwaachia huru wahalifu wenye uhusiano au kutumiwa na wakubwa?

Namuonea huruma classmate wangu Silvester Anthony Mwakitalu

Kama wenye nchi, kama kweli ni wenye nchi kama tunavyoambiwa, kwanini tusiwabane na kuwaagiza wabunge wetu wakabadili ofisi hii haramu na hatari?
Naunga mkono maelezo yako. Bongo siasa imeiteka ujuzi wa elimu na kazi
 
Back
Top Bottom