kuntakinte9320
Member
- Nov 28, 2024
- 7
- 9
Habarini wakuu, nina kero kuhusu ofisi za Kata ya Chamazi Magengeni zamani kilipokuwa kituo kidogo cha polisi.
Majuzi wamekuwa wakikamata watu hasa wakina mama wanawachukua na bajaji mpaka kata wanawafungia ofisini wanaambiwa watoe elfu 36 za usafi, ukiuliza kosa unaambiwa hujalipa ada ya taka sh Tsh. 3000
Pamoja na hilo hata kama una risiti za Desemba, January ulisafiri hukuwepo unalazimishwa kulipa ya mwaka mzima na isitoshe unampa mtu mkononi jamaa mnene anaitwa Aziz
Naomba mamlaka hasa manispaa ya Temeke wachukue hatua haraka
Majuzi wamekuwa wakikamata watu hasa wakina mama wanawachukua na bajaji mpaka kata wanawafungia ofisini wanaambiwa watoe elfu 36 za usafi, ukiuliza kosa unaambiwa hujalipa ada ya taka sh Tsh. 3000
Pamoja na hilo hata kama una risiti za Desemba, January ulisafiri hukuwepo unalazimishwa kulipa ya mwaka mzima na isitoshe unampa mtu mkononi jamaa mnene anaitwa Aziz
Naomba mamlaka hasa manispaa ya Temeke wachukue hatua haraka