Alikarabati ofisi yake kwa ndani ila nje pa ovyo sana,hata mi niko huku kizuramimba nimepita tu jijini nikielekea sukamahelaIle office waliyosema Makonda alikarabati kwa mamilion kwani sio hiyo?
Wengine tuko Kantalamba, hatujafika huko Daslam.
Nimekuelewa mkuu, nikiuza mbaazi zangu nami nije nioshe macho huko Daslam, ila nasikia kuna panya rodAlikarabati ofisi yake kwa ndani ila nje pa ovyo sana,hata mi niko huku kizuramimba nimepita tu jijini nikielekea sukamahela
Huko mliko ni misukule tu hamna mchango kwa nchi yetu kaeni kimya.jogoo la shamba huliwa mjiniNchi hii ina vijana wa hovyo sana
Kuna watu wanajua Tanzania ni dar tu
Hivi sisi wa gugambwige mnatuonaje
Vijana wa sampuli hii wana mchango mdogo sana kwa maendeleo ya taifa
Kiukweli pako hovyo Sana Sana, waihamishie hata maeneo ya kule tegeta hiwe nje ya mjiSerikali imehamia Dodoma, na jengo mengi ya serikali jijini DSM ni mapango ya popo.
Kwanini serikali isitoe jengo hata moja tukapata ofisi ya RC yenye hadhi ya jiji bora kabisa East and Central Africa?
Pale Ilala pa ovyo sana, parking hakuna, ukumbi wa mikutano mdogo, pako exposed sana.
Mkuu umezoea vya kutengenezewa.Serikali imehamia Dodoma, na jengo mengi ya serikali jijini DSM ni mapango ya popo.
Kwanini serikali isitoe jengo hata moja tukapata ofisi ya RC yenye hadhi ya jiji bora kabisa East and Central Africa?
Pale Ilala pa ovyo sana, parking hakuna, ukumbi wa mikutano mdogo, pako exposed sana.