GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Habari
Niliomba vyeti mbali kupitia system yao ijulikanayo kama RITA ONLINE, nimeomba toka mwezi November na leo Januari sijajibiwa, wanasema tu payment received, Payment status, ukiwauliza wanasema wanajibu baada ya siku 10 za kazi
Sasa nina zaidi ya mwezi hakuna progress yoyote, na ni zaid ya mwezi, nimeomba cheti za kuzaliwa na document nime-attach lakini hakuna kilichojibiwa mpaka sasa.
Shida iko wapi? Mnaofanya kazi RITA pookeeni malalamiko haya mfikishe mahali husika.
Niliomba vyeti mbali kupitia system yao ijulikanayo kama RITA ONLINE, nimeomba toka mwezi November na leo Januari sijajibiwa, wanasema tu payment received, Payment status, ukiwauliza wanasema wanajibu baada ya siku 10 za kazi
Sasa nina zaidi ya mwezi hakuna progress yoyote, na ni zaid ya mwezi, nimeomba cheti za kuzaliwa na document nime-attach lakini hakuna kilichojibiwa mpaka sasa.
Shida iko wapi? Mnaofanya kazi RITA pookeeni malalamiko haya mfikishe mahali husika.