Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Habari za pasaka ndugu wanajukwaa wakati wengine wakiendelea na swaum nawaambia kazi iendelee.
Ninapendekeza ofisi ya Rais Ikulu kupitia kurugenzi ya mawasiliano wawe na ukurasa wao hapa kama kule instagram ili wanajukwaa wajue kinachoendelea hasa teuzi na tenguzi.
Aidha habari za PCCB na ripoti ya CAG zianzishiwe kurasa zake ili hata wananchi tuone kilichomo.
Naomba kuwasilisha.
Ninapendekeza ofisi ya Rais Ikulu kupitia kurugenzi ya mawasiliano wawe na ukurasa wao hapa kama kule instagram ili wanajukwaa wajue kinachoendelea hasa teuzi na tenguzi.
Aidha habari za PCCB na ripoti ya CAG zianzishiwe kurasa zake ili hata wananchi tuone kilichomo.
Naomba kuwasilisha.