Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Wamo humu,si muda linatekelezwa.Habari za pasaka ndugu wanajukwaa wakati wengine wakiendelea na swaum nawaambia kazi iendelee.
Ninapendekeza ofisi ya Rais Ikulu kupitia kurugenzi ya mawasiliano wawe na ukurasa wao hapa kama kule instagram ili wanajukwaa wajue kinachoendelea hasa teuzi na tenguzi.
Aidha habari za PCCB na ripoti ya CAG zianzishiwe kurasa zake ili hata wananchi tuone kilichomo.
Naomba kuwasilisha.
Kweli aiseeWamo humu,si muda linatekelezwa.
Pia tupare fursa ya kureport moja kwa moja maovu yanayoendelea mtaani kwa Pm yakePia mama aweke ID yake ili aki comment tumjibu kwa heshima
Wanapokea ushauri mama yupo kazini atamwambia Bi. Zuhura afanye michakatoWao wanathamini vya nje kama Instagram, Twitter, Facebook!
Hilo vurugu lake halitoisha hapo kwenye hiyo pagePia tupare fursa ya kureport moja kwa moja maovu yanayoendelea mtaani kwa Pm yake
Watu wanaogopa wataishi kwa hofu kupelekea adabu ya hali ya juu kwa ukurasa huoHilo vurugu lake halitoisha hapo kwenye hiyo page
Unayajua majitu wewe!!?..tumelelewa tofauti,yatamtukana na kujibu shitPia mama aweke ID yake ili aki comment tumjibu kwa heshima
[emoji1] None senseIli washindwe kuandika mada za kupelekeana moto
Siunajua mama ni jalala. Hapo atayapokea mengi ya misosi,kodi,vijora, nk mpaka teuzi ataombwa liveVirungu vingi...mama sijala,nadaiwa kodi
Mama nimwenye huruma na ajira anazokibao ila wengi hawajuiMaombi ya KAZI yatakua mengi Sana
Ni Kweli maovu na uonevu wa baadhi ya wakubwa umekithiriPia tupare fursa ya kureport moja kwa moja maovu yanayoendelea mtaani kwa Pm yake