Ofisi ya Rais Secretariet ya ajira yakama vyeti feki 667

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,774
Vyeti hivyo ni vya necta, Rita na na elimu ya juu.
Tunalalamika hakuna ajira kumbe tunafoji vyeti,

Source star tv
 
watuhumiwa wanatakiwa kuchukuliwa hatua..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Vyeti hivyo ni vya necta, Rita na na elimu ya juu.
Tunalalamika hakuna ajira kumbe tunafoji vyeti,

Source star tv
Acha porojo zako, ina maana waTanzania wote waliokosa ajira wamefoji vyeti? Mshukuru Mungu hapo ulipo maana atoae ni Mungu lakini kusema kuwa eti tunalalamika hakuna ajira kumbe tunafoji vyeti hauko sahihi hata kidogo
 
Veti feki, mbwembwe nyingi.....watu wakikopa hawalipi.......USIJE MJINI by FA.

Wakianza kuchunguza ile kiukweli asilimia nyingi itakuta watu wametumia Cheti kimoja kusoma hadi watu sita
 
Acha porojo zako, ina maana waTanzania wote waliokosa ajira wamefoji vyeti? Mshukuru Mungu hapo ulipo maana atoae ni Mungu lakini kusema kuwa eti tunalalamika hakuna ajira kumbe tunafoji vyeti hauko sahihi hata kidogo

Asa mkuu pole pole, hivyo Vyeti 667 inaawezekana zilikuwa nafasi za watoto wa wakulima, na kusema hivyo haina maana kwamba mimi nawaponda wasio na ajira la hasha Bali nasikitika kuona watu wengine wakizuia nafasi za watu waliosoma kihahali...
 
Jamani kakagueni mawazir,wakuu wa mikoa,wilaya wakurugenzi,na wote waliowekwa ngaz za juu utacheka na cjui kama hutalia wamewekana 2 kwa fadhila.wenye ujuz ndo vijakaz wao.
 
Asa mkuu pole pole, hivyo Vyeti 667 inaawezekana zilikuwa nafasi za watoto wa wakulima, na kusema hivyo haina maana kwamba mimi nawaponda wasio na ajira la hasha Bali nasikitika kuona watu wengine wakizuia nafasi za watu waliosoma kihahali...
Well understood
 
mie mwenyewe cheti changu sijuhi anakitumia nani ila ipo siku ntampata tu na kusema ukweli siku hiyo ntatoa hukumu yangu ..wanatuibia wanauza na kuwapa mashoga zao watumie,nina hasira sana aisee.
 
Wakapewe interview kama watafaulu waendelee tu na kazi, cheti siyo dili ya kujua kama mtu anaweza kazi...vp wale ambao hawana cheti ila wanaweza kazi? na wale walio na vyeti na kazi hawaziwezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…