OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza kuwa mipango iliyopo ya uboreshaji wa viwanda vya sukari inakwenda vizuri na kwamba kufikia mwakani 2025 nchi yetu itajitosheleza kwa sukari na hatutaagiza tena sukari kutoka nje.
Kauli ya Ofiisi ya Rais imekuja siku chache baada ya Bunge kupitisha Sheria ya Fedha iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Kilimo na Waziri wa Fedha kuruhusu watu binafsi kuagiza sukari nje ya nchi na kutishia uhai wa viwanda vya sukai nchini.
PIA SOMA
- Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza kuwa mipango iliyopo ya uboreshaji wa viwanda vya sukari inakwenda vizuri na kwamba kufikia mwakani 2025 nchi yetu itajitosheleza kwa sukari na hatutaagiza tena sukari kutoka nje.
Kauli ya Ofiisi ya Rais imekuja siku chache baada ya Bunge kupitisha Sheria ya Fedha iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Kilimo na Waziri wa Fedha kuruhusu watu binafsi kuagiza sukari nje ya nchi na kutishia uhai wa viwanda vya sukai nchini.
PIA SOMA
- Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje