OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza kuwa mipango iliyopo ya uboreshaji wa viwanda vya sukari inakwenda vizuri na kwamba kufikia mwakani 2025 nchi yetu itajitosheleza kwa sukari na hatutaagiza tena sukari kutoka nje.
Kauli ya Ofiisi ya Rais imekuja siku chache baada ya Bunge kupitisha Sheria ya Fedha iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Kilimo na Waziri wa Fedha kuruhusu watu binafsi kuagiza sukari nje ya nchi na kutishia uhai wa viwanda vya sukai nchini.
Ukweli utabaki ukweli kwamba Viongozi wooote, wa Awamu iliyoko madarakani, ni kambale: hawaheshimiana, wanatumia madaraka kujineemisha, hawaheshimu mamlaka yaliyo juu yao, na hawajali na hudharau wanaowaongoza
Ukweli utabaki ukweli kwamba Viongozi wooote, wa Awamu iliyoko madarakani, ni kambale: hawaheshimiana, wanatumia madaraka kujineemisha, hawaheshimu mamlaka yaliyo juu yao, na hawajali na hudharau wanaowaongoza
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje...
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje...
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje...
Bashe anaongea uhalisia, Mkumbo anaongea siasa as usual. Hao watu wangetaka tujitosheleze sukari uwezo huo wanao. Hawafanyi hivyo ili wapige super profit kwenye kuagiza.
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza kuwa mipango iliyopo ya uboreshaji wa viwanda vya sukari inakwenda vizuri na kwamba kufikia mwakani 2025 nchi yetu itajitosheleza kwa sukari na hatutaagiza tena sukari kutoka nje.
Kauli ya Ofiisi ya Rais imekuja siku chache baada ya Bunge kupitisha Sheria ya Fedha iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Kilimo na Waziri wa Fedha kuruhusu watu binafsi kuagiza sukari nje ya nchi na kutishia uhai wa viwanda vya sukai nchini.
nadhani wewe ndie unaeconfuse mambo ya mpango wa dharura na mpango endelevu wa kujikwamua na dharura na kujitegemea uzalishaji na utoshelevu sukari nchini 🐒
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza kuwa mipango iliyopo ya uboreshaji wa viwanda vya sukari inakwenda vizuri na kwamba kufikia mwakani 2025 nchi yetu itajitosheleza kwa sukari na hatutaagiza tena sukari kutoka nje.
Kauli ya Ofiisi ya Rais imekuja siku chache baada ya Bunge kupitisha Sheria ya Fedha iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Kilimo na Waziri wa Fedha kuruhusu watu binafsi kuagiza sukari nje ya nchi na kutishia uhai wa viwanda vya sukai nchini.
Sioni kutofautiana kwa kauli.
Bashe kazungumzia tahadhari kwa yaliyotokea 2024 (kwa mfano mvua za El-nino). Hayo yanaweza kutokea wakati wowote hata kama mlishajipanga kuwa ktk karatasi uzalishaji unatosheleza.
Waziri mkumbo kajikita kwenye mpango wa serikali na viwanda katika uwezo wa uzalishaji kama hakutatokea ajali yeyote.
Hapo tofauti ipo wapi? Ndugu zanguni acheni ushabiki katika suala la SUKARI.