Sawa mkuuMripoti Vodacom watamtoa haraka sana.
Wivu wa Nini mkuu?Ni wivu TU
KAZI ni kipimo cha UTU
Wa kiume mkuu...Tena kijana ka Mimi tuNi wakiume au wakike?
Hhhhh hapana kaka,, hakutaka hata kuuliza natumia namba gani...yan anaigiza userious ...dah..unaongea na mtu ye Yuko busy na simMaybe aliangalia kwenye system, akaona salio lako la mpesa halifiki hata liteni
Kwa uzuri upi walionaoPitia mademu zao tu
Bora vodacom, nenda ofisi za umma ua za CCM uone uozo wakeJuzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Tatizo kubwa lipo hapoNi kweli kaka..na kwako asilimia kubwa unakuta Ni ajira za kupachikana
Bora vodacom, nenda ofisi za umma ua za CCM uone uozo wake
Mungu atusaidie snHhhhh...Ni kwere
yana mwisho lakin
Nenda TigoJuzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?