Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

Ofisi za benchmark production zimeungua moto...madam rita iibiwa mil.5+funguo za gari....

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
Kuna Habari zinasema kuwa ni ofisi za benchmark production waandaaji wa Bongo Star Search aka BSS zimeungua kwa moto, lakini pia Excutive Director wa Benchmark Production Madam Rita kaibiwa pochi yake ambayo ndani yake kulikuwa na millioni 5 pamoja na funguo za gari lake aina ya benzi.

Source: mwandishi wa habari
 
Pole madame kama habari hizi ni kweli, wewe ni mpambanaji ninakuombea mungu akuongezee saba mara sabini hapo palipopungua!!
 
duh!!! mil 5 kwenye pochi!!!! pole sana ila inaweza kuwa sawa na thamani ya 10,000 yangu ikiwa kwenye pochi ninavyoipangia mahesabu!!!!
 
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
 
hapo lazima mzee atafutwe hata kama alimcheat
 
Benzi yake nzuri hivi ndogo ya silver!! Pole mamaa check na mzee akutupie vogue!
 
hivi ofisi bado zipo mikocheni nyuma ya aar hospital au walihama? pale ni karibu na wale jamaa wa fire wa knight support victoria. kwanini mtu asikimbie kwa miguu kuwaita?. any way hizi habari za masta wa bongo saa nyingine zimekaa kiuzushi. wanataka magazeti pendwa yauzike. mtu ataibaje funguo badala ya gari? wanawake hua pochi inakaa kwapani mda wote so si rahisi kusahau. tuseme walio iba funguo ndo wamechoma moto? basi wataonekana kwenye zile camera zao pale studio. mia
 
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye

acha kukurupuka!umeambiwa hajui umuhimu wa bank? Unajuaje kama alitoka kudrow ili akamlippe mtu au kununulia kitu?
 
jamani kwani kutembea na 5M ni kosa??, huwezi jua labda kuna sehemu anaenda kufanya manunuzi/malipo!.
huyu ni mjasiriamali na mfanyabiashara kuwa na pesa nyingi wakati wowote na mahli popote inawezekana.
pole sana madame ritha
 
Oooh baby pole.. Pole sana babe.. Natamani nipate hata sekunde 30 nimbembeleze kisha nizitumie ipasavyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hivi ofisi bado zipo mikocheni nyuma ya aar hospital au walihama? pale ni karibu na wale jamaa wa fire wa knight support victoria. kwanini mtu asikimbie kwa miguu kuwaita?. any way hizi habari za masta wa bongo saa nyingine zimekaa kiuzushi. wanataka magazeti pendwa yauzike. mtu ataibaje funguo badala ya gari? wanawake hua pochi inakaa kwapani mda wote so si rahisi kusahau. tuseme walio iba funguo ndo wamechoma moto? basi wataonekana kwenye zile camera zao pale studio. mia

Pole sana Madam, najua utakuwa na bima katika kukinga mali zako dhidi ya moto na majanga mengine, ukizingatia uwekezani katika mitambo na vifaa vingine vya ofisi. Kama hukuwa umefanya hivyo kwa kweli nakupa pole. Next time nitafute nikutengenezee risk analysis kwa ajili ya bima, kutambua risk katika biashara zako na jinsi ya kijikinga.

Mimi naona kibao chao pale Mbezi Kawe jirani na Waziri wa afya Dr H. Mwinyi.
 
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye

Milioni tano nyingi kwako. Ushasahau mmoja arusha alikamatwa na m20 kwenye gari akasema ni za matumizi madogo madogo?
 
Stupidy comment, sometimes you need even 10m with you for business or other transactions, mataikuni huwa hawataki Mpesa etc, sometimes they simply need cash, and we give them cash without considering the amount.


Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
 
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye

Educated?...well, sometimes, you dont need to use your education all the time, but common sense's better most of the times.
 
Back
Top Bottom