Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
hivi ofisi bado zipo mikocheni nyuma ya aar hospital au walihama? pale ni karibu na wale jamaa wa fire wa knight support victoria. kwanini mtu asikimbie kwa miguu kuwaita?. any way hizi habari za masta wa bongo saa nyingine zimekaa kiuzushi. wanataka magazeti pendwa yauzike. mtu ataibaje funguo badala ya gari? wanawake hua pochi inakaa kwapani mda wote so si rahisi kusahau. tuseme walio iba funguo ndo wamechoma moto? basi wataonekana kwenye zile camera zao pale studio. mia
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye
Pamoja na utandawazi woote anatembea na hela nyingi hivyo ktk pochi? Ni uzembe wa hali ya juu usiovumilika kwa educated people like yeye