Kashaulo JF-Expert Member Joined Jun 14, 2019 Posts 2,936 Reaction score 4,947 Jul 15, 2020 #61 johnthebaptist said: Sijamuona nadhani alichukua jana! Click to expand... Kwani alishapona.?
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jul 15, 2020 Thread starter #62 Kashaulo said: Kwani alishapona.? Click to expand... Alishapona bwashee na bungeni alirudi!
goroko77 JF-Expert Member Joined Jul 9, 2019 Posts 8,845 Reaction score 13,072 Jul 15, 2020 #63 Hv watu wako serious kweli mtu unaenda kudump laki moja kwa kitu amabacho hata kikipata uwez wala maandalizi ya kikipata ujaiandaa duh upuuz huu.eti watu 60 watia Nia kumbe watu wanna helaza mchezomchezo
Hv watu wako serious kweli mtu unaenda kudump laki moja kwa kitu amabacho hata kikipata uwez wala maandalizi ya kikipata ujaiandaa duh upuuz huu.eti watu 60 watia Nia kumbe watu wanna helaza mchezomchezo
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 15, 2020 #64 Ubunge ni mgodi unaotembea