Tetesi: Ofisi za Hifadhi ya Taifa serengeti zawaka moto

.....
.......na mwaka huu mmechoma sana Hifadhi nani Mwikolojia huko
 
Endeleeni kuchoma nyaraka, Magufuli anakuja huko sio muda mrefu
 
Wadau kuna taarifa kwamba ofisi za Hifadhi ya Taifa Serengeti mkoa wa Mara zilizopo ngome ikoma au Fort ikoma makao makuu zimeungua leo, chanzo bado kinachunguzwa
....
.....washauri wanunuwe Zimamoto mfano Seronera Air Port
 
Kuchoma moto mabweni,wauza mbao,watendaji wa serikali na ofisi tajwa hapo juu haita........
 
nyie chomeni tutakuja kula nyamapori hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…