Brave_Idiot JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 209 Reaction score 368 Jul 18, 2024 #1 Ukiwa unahitaji kuanza maombi ya kitambulisho cha utaifa(NIDA) ndani ya wilaya ya ubungo, ofisi zao zinapatikana wapi ? Na hivi jmosi hua wanafungua ?
Ukiwa unahitaji kuanza maombi ya kitambulisho cha utaifa(NIDA) ndani ya wilaya ya ubungo, ofisi zao zinapatikana wapi ? Na hivi jmosi hua wanafungua ?
Oppomall JF-Expert Member Joined Feb 8, 2017 Posts 3,683 Reaction score 3,966 Jul 18, 2024 #2 Moviez Tz said: Ukiwa unahitaji kuanza maombi ya kitambulisho cha utaifa(NIDA) ndani ya wilaya ya ubungo, ofisi zao zinapatikana wapi ? Na hivi jmosi hua wanafungua ? Click to expand... LUGURUNI Morogoro rd, ukitokea Mbezi stand. Unashuka kituo kinaitwa Luguruni (kuna mataa) kisha utaingia kushoto moja kwa moja utaona ghorofa jeupe au uliza ofisi za Mkuu wa wilaya utaoneshwa.
Moviez Tz said: Ukiwa unahitaji kuanza maombi ya kitambulisho cha utaifa(NIDA) ndani ya wilaya ya ubungo, ofisi zao zinapatikana wapi ? Na hivi jmosi hua wanafungua ? Click to expand... LUGURUNI Morogoro rd, ukitokea Mbezi stand. Unashuka kituo kinaitwa Luguruni (kuna mataa) kisha utaingia kushoto moja kwa moja utaona ghorofa jeupe au uliza ofisi za Mkuu wa wilaya utaoneshwa.