Ofisi za TCU zipo wapi Dar?

Chachasteven

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
1,941
Reaction score
2,044
Jamani habarini za masiku humu JF.
Naomba kuulizia, ofisi za TCU zipo sehemu gani hapa Dar.
 
Rose garden kwa mbele kidogo unapita TEA unasonga kwa mbele utawapata. Rose garden ipo pale kama unatokea makumbusho unakuja MWENGE kuna yale mataa ya sayansi kulia kwako utaona kituo cha mafuta na kuna barabara inaelekea kulia kwako ifuate.
 
Rose garden kwa mbele kidogo unapita TEA unasonga kwa mbele utawapata. Rose garden ipo pale kama unatokea makumbusho unakuja MWENGE kuna yale mataa ya sayansi kulia kwako utaona kituo cha mafuta na kuna barabara inaelekea kulia kwako ifuate.

umesema barabara ya makumbusho kabla sijafika mwenge. kulia kwngu ndo kuna ofis za TCU si ndiyo au.
 
Kama unatokea mwengu ukifika sayansi shuka ingia na ile barabara ambayo ipo mkono wako wa kushoto .. Zingatia kama unatoka mwenge.. Wewe nenda nayo tu utapita rosegarden na mbele utaona jengo lao lipo mkono wa kushoto.
 
Basi ntajaribu kufika lakini Mimi siyo mwenyeji Dar.
Asanteni waungwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…