K Kimwakaleli JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 7,755 Reaction score 11,737 Sep 27, 2024 #2 TRA Tanzania said: View attachment 3108184 Click to expand... Kuna maswali humu ya kuhusu kuagiza magari nje Kodi inakuwa sawa na bei ya gari !Mtatusaidia,Karibuni sana.
TRA Tanzania said: View attachment 3108184 Click to expand... Kuna maswali humu ya kuhusu kuagiza magari nje Kodi inakuwa sawa na bei ya gari !Mtatusaidia,Karibuni sana.
Mtumishi wa Bwana89 JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 3,191 Reaction score 4,220 Sep 27, 2024 #3 Kimwakaleli said: Kuna maswali humu ya kuhusu kuagiza magari nje Kodi inakuwa sawa na bei ya gari !Mtatusaidia,Karibuni sana. Click to expand... Hawataki kujibu
Kimwakaleli said: Kuna maswali humu ya kuhusu kuagiza magari nje Kodi inakuwa sawa na bei ya gari !Mtatusaidia,Karibuni sana. Click to expand... Hawataki kujibu
kikiboxer JF-Expert Member Joined Dec 22, 2017 Posts 3,668 Reaction score 9,809 Sep 27, 2024 #4 Asanteni, suala la mtandao wenu kutokuwa stable ni tatizo hilo. mwanzoni mimi nilikuwa naweza kupata control number nikiwa kwangu kwenye mtandao lakin sahvi hata ukienda ofisini kwenu unaambiwa mtandao unasumbua mnataka tulipaje hizo kodi mnazodai?
Asanteni, suala la mtandao wenu kutokuwa stable ni tatizo hilo. mwanzoni mimi nilikuwa naweza kupata control number nikiwa kwangu kwenye mtandao lakin sahvi hata ukienda ofisini kwenu unaambiwa mtandao unasumbua mnataka tulipaje hizo kodi mnazodai?