Ofisi za TRA kuwa wazi Juni 8 na 9, 2024 nchi nzima

Ofisi za TRA kuwa wazi Juni 8 na 9, 2024 nchi nzima

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
OFISI KUWA WAZI 7 NA 8 JUNE 2024.jpeg


Dar es Salaam, 07 Juni, 2024:

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwafahamisha Walipakodi na wananchi kwa ujumla kuwa, ofisi za TRA nchi nzima zitakuwa wazi kuwahudumia walipakodi siku ya Jumamosi tarehe 08 Juni, 2024 na Jumapili tarehe 09 Juni, 2024 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi saa 8:00 mchana.

Hatua hii inatokana na ushauri na maoni ya wadau wa kodi wakiwemo walipakodi wetu, hivyo TRA inawakaribisha walipakodi wote kwa ajili ya kupatiwa huduma mbalimbali za kikodi katika muda tajwa hapo juu.
 
Ishu sio kulipa Kodi Bali zinatumikaje .
Kuna jamaa alisaini mktaba wa bilioni 75 just to hire/kukodi software ya kufuatilia umeme kukatika kutokea India.

Mbona do world hawakutaka kulipa Kodi.

Na ni kwa nini kampuni za simu zinqbadilisha majina yao.

Yaani mapapa Wana watu wanawahashauri namna ya kukwepa Kodi.

Mpaka matumizi sahihi ya pesa za walipa Kodi zitakapotumika vizuri nadhani watu watafurahi kulipa Kodi.


Na Ile hali ya simu kupigwa bandarini kuwa huo ni mzigo wa mkubwa unaachiwa.


Why watu Fulani ndio wanaagiza mzigo Fulani wengine wakileta Kodi inakuwa juu kiasi kwamba Fulani Pekee ndiye awe main supplier or distributor anataka monopoly market.
 
Siku hizi mmepoa sana. Elimu kwa mlipa kodi ni kama mmeamua kuisusa tu.

Endeleeni kutoa elimu kwa wananchi na muachane na njia za mabavu katika kukusanya kodi.

Tupo kuwapa ushirikiano kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Siku hizi mmepoa sana. Elimu kwa mlipa kodi ni kama mmeamua kuisusa tu.

Endeleeni kutoa elimu kwa wananchi na muachane na njia za mabavu katika kukusanya kodi.

Tupo kuwapa ushirikiano kwa maendeleo ya nchi yetu.
asante sana TRA kwa kujituma na kuonyesha kweli mmeamua kukusanya mapato ya serikali na kufikia malengo yenu. mzee elimu mbona wamepambana sana labda kama hufatilii maana nimekuta hadi tiktok wapo nikastuka nikasema ama kweli elimu ya tra hadi tiktok wapo.mbona mama alishasema na wameacha . mimi japo huwa sina nao urafiki vile ila kwenye ukweli ntasema tu swala la elimu wanajitahidi sana maana jana tu nimeona kuna jamaa pale chanel ten na leo karudia tbc akiongea kuhusu kodi.
 
Kwa nin vijana wenu mnao watuma kuja madukani wamenifanyia vurugu dukani kwangu kwa Nini ?
 
Kumtunza Abdul & Co
hela za masikini zinaliwa na wajanja wachache mno yaani wanafurahi watu kuwa wajinga wasome kwa kiswahili wakijua English watajifunza Mambo mengi watakuwa wajanja mbona wao watoto wao wanasoma za English. Kwa dunia tuliyopo English ni muhimu Kama chakula kilivyo. Ni lugha ya dunia. Tungejufunza kiswahili Kama tunavyokijua
 
hela za masikini zinaliwa na wajanja wachache mno yaani wanafurahi watu kuwa wajinga wasome kwa kiswahili wakijua English watajifunza Mambo mengi watakuwa wajanja mbona wao watoto wao wanasoma za English. Kwa dunia tuliyopo English ni muhimu Kama chakula kilivyo. Ni lugha ya dunia. Tungejufunza kiswahili Kama tunavyokijua
 
View attachment 3011185

Dar es Salaam, 07 Juni, 2024:

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwafahamisha Walipakodi na wananchi kwa ujumla kuwa, ofisi za TRA nchi nzima zitakuwa wazi kuwahudumia walipakodi siku ya Jumamosi tarehe 08 Juni, 2024 na Jumapili tarehe 09 Juni, 2024 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi saa 8:00 mchana.

Hatua hii inatokana na ushauri na maoni ya wadau wa kodi wakiwemo walipakodi wetu, hivyo TRA inawakaribisha walipakodi wote kwa ajili ya kupatiwa huduma mbalimbali za kikodi katika muda tajwa hapo juu.
Boss kwa sasa kwa mwezi May na April tulivuna kiasi gani kama Taifa?
 
Ishu sio kulipa Kodi Bali zinatumikaje .
Kuna jamaa alisaini mktaba wa bilioni 75 just to hire/kukodi software ya kufuatilia umeme kukatika kutokea India.

Mbona do world hawakutaka kulipa Kodi.

Na ni kwa nini kampuni za simu zinqbadilisha majina yao.

Yaani mapapa Wana watu wanawahashauri namna ya kukwepa Kodi.

Mpaka matumizi sahihi ya pesa za walipa Kodi zitakapotumika vizuri nadhani watu watafurahi kulipa Kodi.


Na Ile hali ya simu kupigwa bandarini kuwa huo ni mzigo wa mkubwa unaachiwa.


Why watu Fulani ndio wanaagiza mzigo Fulani wengine wakileta Kodi inakuwa juu kiasi kwamba Fulani Pekee ndiye awe main supplier or distributor anataka monopoly market.
"Serikali ya Wala rushwa haikusanyi Kodi, itabaki kukimbizana-kimbizana na vijitu vidogo vidogo humu mabarabarani tu basi!"

Mwalimu Julius K. Nyerere.
 
Kiukweli nikipata fursa ya kukwepa kodi nitaitumikia vizuri, mama yenu kutwa kuzurula kuomba omba kodi hazijulikani zinafanyia kitu gani mpo kufuga matumbo yenu na familia zenu mbuzi nyinyi
 
TRA inakuwaje system ya kutoa receipt za EFD haifanyi kazi siku ya pili Leo. Au na ninyi mpo kwenye mgomo kama wafanyabiashara.
 
wataalam wa kodi hivi capital gains tax inakokotolewaje? naona kama naelekea kupigwa. msaada tafadhali
 
Nina swali
ROI NA SETPI ni nini na wafanyabiashara gani wanahusika nazo.
 
Back
Top Bottom