Ofisi za TRA kuwa wazi nchi nzima tarehe 23 na 24 Machi, 2024

Ofisi za TRA kuwa wazi nchi nzima tarehe 23 na 24 Machi, 2024

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
OFISI ZA TRA KUWA WAZI.jpeg
 
Kodi za Majengo mnazokusanya kupitia kwenye Bill za Umeme, mnatakiwa kuwaamuru TANESCO kwamba Waonyeshe Mchanganuo wa Kodi hizo kwenye Stakabadhi zao zote za Ununuzi wa Umeme unaofanywa na wateja. Kwa sasa, dhana iliyopo kwa Wananchi wanunuzi wa Umeme wanahisi kwamba nyinyi TRA mnashirikiana na TANESCO katika kuwaibia fedha Wananchi kupitia Manunuzi ya Umeme.
 
Kodi za Majengo mnazokusanya kupitia kwenye Bill za Umeme, mnatakiwa kuwaamuru TANESCO kwamba Waonyeshe Mchanganuo wa Kodi hizo kwenye Stakabadhi zao zote za Ununuzi wa Umeme unaofanywa na wateja. Kwa sasa, dhana iliyopo kwa Wananchi wanunuzi wa Umeme wanahisi kwamba nyinyi TRA mnashirikiana na TANESCO katika kuwaibia fedha Wananchi kupitia Manunuzi ya Umeme.
Ndg John hii kodi mbona haipo tena TRA wamerudishiwa halmashauri nadhani toka mwaka huu mwanzoni au mwaka jana mwishoni
 
Back
Top Bottom