Ofisi za TRA wanasumbua kusaini au kugonga mihuri kupokea barua

Ofisi za TRA wanasumbua kusaini au kugonga mihuri kupokea barua

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya ofisi za serikali hasa naadhi ua ofisi za TRA kupokea barua na kukataa kugonga mhuri wa received kwenye barua ya pili anayobaki nayo mteja kwaajili ya kumbukumbu zake kwa madai wamekatazwa kufanya hivyo hadi mteja aje na dispatch book.

Hivi hii inaboresha nini ktk utendaji mbovu wa TRA inamaana kila myeja wa TRA anatakiwa kununua dispatch book ndiyo ahudumiwe na TRA na kama ni hivyo kwanini naadhi ya ofisi za serikali wanapokea na kugonga mhuri au kisaidi juu ya barua anayobaki nayo mteja??

Shida iko wapi iwapo kusaini au kugonga mhuri kwenye barua husika hakubadirishi maana iliyomo kwenye barua kama siyo kuwaingiza gharama wateja za kununua dispatch kwa barua moja tu??
 
Nafikiri haya ni maelekezo ya mda kidogo. Sijajua nia na dhumuni la maelekezo haya lakini nimekutana nayo zaidi ya miaka mitatu sasa imepita katika baadhi ya taasisi za umma na ofisi za serikali.
 
ili kuepukana na kadhia ya kutokusainiwa kwa barua yako kuwa imepokelewa ni vizuri uwe unawasainisha kwenye 'dispatch book' na hii si tra bali weka uwe utaratibu wako unapowasilisha barua yako ofisi yeyote ile utakuja nishukuru.
 
Habarini,
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya ofisi za serikali hasa naadhi ua ofisi za TRA kupokea barua na kukataa kugonga mhuri wa received kwenye barua ya pili anayobaki nayo mteja kwaajili ya kumbukumbu zake kwa madai wamekatazwa kufanya hivyo hadi mteja aje na dispatch book.

Hivi hii inaboresha nini ktk utendaji mbovu wa TRA inamaana kila myeja wa TRA anatakiwa kununua dispatch book ndiyo ahudumiwe na TRA na kama ni hivyo kwanini naadhi ya ofisi za serikali wanapokea na kugonga mhuri au kisaidi juu ya barua anayobaki nayo mteja??

Shida iko wapi iwapo kusaini au kugonga mhuri kwenye barua husika hakubadirishi maana iliyomo kwenye barua kama siyo kuwaingiza gharama wateja za kununua dispatch kwa barua moja tu??
Mkuu sasa hivi wewe ukituma tu hata barua pepe email tayari huo ni ushahidi tosha imefika hiyo tafuta tu email zao .
 
Habarini,
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya ofisi za serikali hasa naadhi ua ofisi za TRA kupokea barua na kukataa kugonga mhuri wa received kwenye barua ya pili anayobaki nayo mteja kwaajili ya kumbukumbu zake kwa madai wamekatazwa kufanya hivyo hadi mteja aje na dispatch book.

Hivi hii inaboresha nini ktk utendaji mbovu wa TRA inamaana kila myeja wa TRA anatakiwa kununua dispatch book ndiyo ahudumiwe na TRA na kama ni hivyo kwanini naadhi ya ofisi za serikali wanapokea na kugonga mhuri au kisaidi juu ya barua anayobaki nayo mteja??

Shida iko wapi iwapo kusaini au kugonga mhuri kwenye barua husika hakubadirishi maana iliyomo kwenye barua kama siyo kuwaingiza gharama wateja za kununua dispatch kwa barua moja tu??
NAtaka kulipia gari yangu kodi leo siku ya tati assessment sijapata naambiwa inashughulikiwa sijui hii nchi ina shida gani,hata ukitaka kulipa kodi pia unasumbuliwa. TRA Tanzania
 
Back
Top Bottom