Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Mwenye kufahamu ofisi za Zantel kwa hapa Mwanza anifahamishe.
Kabla ya kuhamishwa zamani ilikuwa pale mataa mkabala na jengo la BOT.
Nina Modem nahitaji wanipatie huduma fulani.
Lakini pia nahitaji wanipatie special number.
Natanguliza shukrani wakuu.
Kabla ya kuhamishwa zamani ilikuwa pale mataa mkabala na jengo la BOT.
Nina Modem nahitaji wanipatie huduma fulani.
Lakini pia nahitaji wanipatie special number.
Natanguliza shukrani wakuu.