Michelle mbona umefurahi sana, ushawahi kuwa mgeni, mmmhhhhh!!:twitch:ha ha ha ha haaaaaaaaaaa,nimeiona hiyo...!!!:coffee:
ha ha ha ha haaaaaaaaaaa,nimeiona hiyo...!!!:coffee:
Michelle mbona umefurahi sana, ushawahi kuwa mgeni, mmmhhhhh!!:twitch:
mkuu jaribu kufanya uchunguzi..vibosile wale mapapa wenyewe acha hawa wa kawaida
Habari wandugu..
Mwenzenu smtimz kuna mambo huwa hayaingii akilini..hizi ofisi za vibosile zilizo na kila kitu mpaka self contained room za nini? Zile two hrs za kwenda lunch ndio unaona eti mgeni kaja kumuona mkuu..ngoma fasta fasta ndio mtindo
weekend njema wakuu
wapi hiyo?
mimi pia nazijua kma mbili hivi ila ukitaja humu hatukawii kufungiwa.ndo kimjinimjini tena kazi kwenu mliooamkuu jaribu kufanya uchunguzi..vibosile wale mapapa wenyewe acha hawa wa kawaida