Ofisini kwa bosi..bafu na kitanda vya nini?

woyeeeeeeeeeeeeeeee
 
Zipo kwene likampuni flani linahusika na kuendesha magari makubwa baharini, sijui linaitwaje vile....nilishasikia kuwa mabosi wa pale ndo afisi zao zilivyo halafu wanapenda sana na nanihiii
 

Jibu SAHIHI KABISA.

Ni maendeleo tu ya ustaarabu, wala haihusiani na tabia ya uzinzi. Kama ni uzinzi hata kitanda na washroom visingekuwepo bado mzinzi anaweza kuchakachua mezani, sakafuni, au guesthouse.
 

kama kuna ofisi ya mkurugenzi haina choo na bafu, nitaishagaa sana
 
siku inaweza kutokea emergency kazini akatakiwa kufanya kazi mpaka usiku mkubwa.sasa hapo badala ya kurudi nyumbani kwa vile asubuhi tena anatakiwa kazini huwa wanapumzika humo.

Enzi zile watu tulifanya kazi mpka saa 6 ya usiku bado tulirudi majumbani kwetu. Ni aina gani ya wa Watu waliopo maofisini sasa hivi wenye kudai kampuni ziwanunulie vitanda na kuviweka ofinsini??

Hivi bodi au idara ya manunuzi inaweza pitisha gharama ya kununua kitanda cha bosi ofisini??

Kama Tunajustify vitanda ofisini mwa Maboss basi tukubali kwamba hiki ni Kizazi cha CHUPI, kilicho uzao wa CHUPI.
 
dah! Yan kusema ukwel kama vipo hvyo choo,bafu na kitanda sasa huko nyumban anakwenda kufanya nini wakat vyote anavyo pale na kuhusu mchakachuo yupo sekerital mzur huyo kama ni hv hata mm cwez kurud home na ningengangania kuwa bos
 
Dah dah dah labda bafu na choo kitanda bado sijakiona
 
Ufulska ni sehemu ya kazi mkuu!
 
Ni mabadiliko ya sayansi na teke linalokua tu! Ofisi kwangu vipo hivyo vyote na kamwe sijawahi kuchakachulia hapo!
 
Ni mabadiliko ya sayansi na teke linalokua tu! Ofisi kwangu vipo hivyo vyote na kamwe sijawahi kuchakachulia hapo!
 
Miaka ya 90 pale hospitali ya Dar group karibu na radio Tanzania kulikuwa na bosi wa kihindi wafanyakazi walimwogopa na kumchukia sana alikuwa anafukuza na kuajiri kila kukicha,wakafanya mgomo na kumfukuza ofisini.Walipovamia ofisi yake na kusogeza kiti wakakuta mlango mfupi kuuvunja wakakuta godoro na condom kibao zilizotumika na mpya, jamaa akafukuzwa nchini baadae ikagundulika alikuwa anawafanya vibaya waomba kazi wake kwa waume.
 
mmmh.,..kwel mambo mengine ni ufuska
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…