woyeeeeeeeeeeeeeeeeOfisini kwa bosi..bafu na kitanda vya nini?
1 bafu kwa ajili ya kuoga unajua sometimes jasho
2 umesahau lazima kiwepo na choo kwa ajili ya kudounload baada ya lunch mkuu najua unajua
3 kitanda kwa ajili ya kupumzika baada ya lunch ucpendi vzuri 2 hrs lazima m2 upumzike ukizingatia om ni mbali na ofisi
hope umejua kazi ya hivyo vitu mkuu. wikiendi njema
Ofisini kwa bosi..bafu na kitanda vya nini?
1 bafu kwa ajili ya kuoga unajua sometimes jasho
2 umesahau lazima kiwepo na choo kwa ajili ya kudounload baada ya lunch mkuu najua unajua
3 kitanda kwa ajili ya kupumzika baada ya lunch ucpendi vzuri 2 hrs lazima m2 upumzike ukizingatia om ni mbali na ofisi
hope umejua kazi ya hivyo vitu mkuu. wikiendi njema
Habari wandugu..
Mwenzenu smtimz kuna mambo huwa hayaingii akilini..hizi ofisi za vibosile zilizo na kila kitu mpaka self contained room za nini? Zile two hrs za kwenda lunch ndio unaona eti mgeni kaja kumuona mkuu..ngoma fasta fasta ndio mtindo
weekend njema wakuu
siku inaweza kutokea emergency kazini akatakiwa kufanya kazi mpaka usiku mkubwa.sasa hapo badala ya kurudi nyumbani kwa vile asubuhi tena anatakiwa kazini huwa wanapumzika humo.
mkuu hizi mbona zipo,tembea uone! Kuzitaja mmh
Dah dah dah labda bafu na choo kitanda bado sijakiona
Ufulska ni sehemu ya kazi mkuu!Habari wandugu..Mwenzenu smtimz kuna mambo huwa hayaingii akilini..hizi ofisi za vibosile zilizo na kila kitu mpaka self contained room za nini? Zile two hrs za kwenda lunch ndio unaona eti mgeni kaja kumuona mkuu..ngoma fasta fasta ndio mtindoweekend njema wakuu
Karibu ofisini kwangu dada!duhhh hiyo hata mi nataka...
Hahaha! Dar express au express yourself mkuu.Huyo boss anaonekana ni mzee wa express
Karibu ofisini kwangu dada!
mmmh.,..kwel mambo mengine ni ufuskaMiaka ya 90 pale hospitali ya Dar group karibu na radio Tanzania kulikuwa na bosi wa kihindi wafanyakazi walimwogopa na kumchukia sana alikuwa anafukuza na kuajiri kila kukicha,wakafanya mgomo na kumfukuza ofisini.Walipovamia ofisi yake na kusogeza kiti wakakuta mlango mfupi kuuvunja wakakuta godoro na condom kibao zilizotumika na mpya, jamaa akafukuzwa nchini baadae ikagundulika alikuwa anawafanya vibaya waomba kazi wake kwa waume.