Ofisini kwetu wananifanya mimi kituko

Kama we ni rijali basi jifanye kila mara unashika shika dhakari yako,atajitokeza mmoja mwenyewe kwa kujipendekeza umgonge na mgonge kwa buster yoyote ,wataKupa heshima.
 
Aisee
 
Wewe ndo ulifanya makosa mwanzo kuwaambia umetoka Namtumbo!
Ungewaambia umetoka Matombo kwenye familia ya mzee Ntombinkulu Mpigamiti
 
Ni utani,unaonekana hujui kukasirika huna baya na mtu,sio rahis kutaniwa na watu wote, wape kicheko wenzako inawezekana kupitia wewe siku huisha vzuri,wewe ndio kiunganishi cha furaha, wewe ndio mtani wao, kaa nao vzuri michongo mingi itakuja kupitia wao pia
 
Dah blazA hatuchekani...aisee watu wanaiona wikiend ndefu kwasababu wanamis kunitania na kunikebei...Kila siku ..
 
Wewe piga kazi usiweke moyoni hayo maneno ya wahafidhina ndivyo walivyo walimwengu,, fuata kile kilicho kupeleka au ulicho kiendea basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…