Tuma elfu 20,000/= fee ya kua member expert.Ofsa kama ofsa leo nimekuwa mwanachama miongoni mwenu hivyo basi ndugu wajumbe wa idara zote humu mnielekeze namna bora ya kuishi kwa kheri humu. Lengo kubwa ni kujifunza, kuelimika na kuburudika pamoja na kushea mambo kadha wa kadha juu ya maisha yetu ya kila siku hivyo naahidi kushirikiana nanyi kwa moyo mmoja
Ndugu wajumbe mnipokee tafadhali
Ofsa kama ofsa , ofsa wa maofsa asanteni sana
Naona unataka kumuonyesha mitaa ya jiji la JF...Tuma elfu 20,000/= fee ya kua member expert.
Una buku apo?Picha achana nayo ofsa
Mh!Tuma elfu 20,000/= fee ya kua member expert.
Sitaki kukupoteza.Kwanini tena, unambania mgeni
Usiof, siwezi kwenda mbali esp saiv ambapo bado project yetu hatujamalizaSitaki kukupoteza.