100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Wakuu habari za majukumu?
Wanaume wenzangu huwa inatokea sana kwenye mahusiano kuambiwa na mwanamke uliyenae katika mahusiano "kaka yako kanitongoza" au "rafiki yako ananitongoza", kwa kweli nimejifunza mengi kutoka kwa hili na ninaongea nina uhakika.
Wanawake wana tabia ya ku manipulate akili zetu, that is the only way kwa wao kutu control, wanawake wanachezea sana akili zetu and natuarally wapo hivyo so kama we upo katika beginner level utakubali show.
Mwanamke wa type hii anakuambia hivyo ili.
1-Utengeneze trust kwake kwamba yeye ni mwanamke wa shoka anajua kukwepa mishale, pia haoni mwanaume kama wewe.
2-Anatengeneza uadui kati yako na huyo mtu kwa sababu fulani fulani ili atimize mambo yake.
Huyo mtongozaji anaweza kuwa rafiki yako, ndugu yako au jirani yako, sikatai kweli kuna viwembe wa kula mali za watu lakini kuna namna ya ku solve issue kama hii.
Uzoefu ninao na kwa mifano halisi.
Naongea hili nina uzoefu nalo, mwanamke mwenye msimamo na anayekupenda kweli, asiyetaka ugombane na watu akitongozwa na wanaume wengine ambao kwa namna moja ama nyingine una mahusiano nao kama ndugu au marafiki inabidi yeye mwenyewe asimamie hilo, kwa kuwajibu "nitamwambia boyfriend wangu ukiendelea kunitongoza, naomba unikome mimi sio malaya, ukithubutu tena nitamwonyesha sms zote na nitamwambia".
Hapo midume lazima iogope ni kama pepo limekemewa, lakini wanawake wengi wana hizi tabia anatongozwa na watu wa karibu, halafu ana respond vyema, jamaa anapata nguvu zaidi ya kurusha mashambulizi, sisi wanaume ukiwa unatongoza halafu unaona mdada anaangalia chini huku kakaa kimya hapo unapata nguvu na kuendelea kutoa dozi kwa maneno, ndio maana unakuta mtu anasema " nitakununulia V8 mama" tena kwa ujasiri wakati hata pikipiki uwezo hana. Kwa sababu wanaume tunaamini ukimya nalo huwa ni jibu.
Sasa mwanamke akishadanganywa vya kutosha na akamkubalia jamaa cha kufanya ni kukugombanisha nae rafiki zako ili akiliwa usijue.
1-Hutoamini kama mwanamke wako itatokea siku akatoka na jamaa kwa sababu mwanamke amekuaminisha ana msimamo kwa kukuambia ametongozwa na huyo mtu.
2-Hutopata taarifa zozote kwa sababu mwanamke amaekata mawasiliano kati yako na huyo mtu na wengine.
Hapo hasara mara mbili.
1-Manzi analiwa.
2-Mahusiano na undugu/urafiki unakufa.
Pia kuna wanawake huwa wanakuja katika maisha yako wanakuta mna umoja, mna michongo yenu, una rafiki wengi na una mapenzi na ndugu zako, wakija na tamaa zao ili kutimiza adhma yao ndio huwa mbinu zao.
1-Kuhakikisha urafiki na undugu wenu unakufa ili akiwa ana cheat asipatikane wa kukupa feedback kwa sababu mmegombana nao.
2-Kukufanya umwamini yeye kuliko mwingine yeyote.
So guys chungeni sana na tumieni akili katika hili, mtu wako akija na kiherehere chake eti "fulani ananitaka" we muulize "umemjibu vipi". Hapo ndio utajua huyo kweli ni mtu sahihi ama la.
Na nyie kina dada kama sio makusudi ya kutimiza mambo yenu, unamkuta mtu ana uhusiano mzuri tu na rafiki zake pengine wamesoma toka secondary hadi chuo pamoja, then unaenda kusema hayo maneno unatarajia nini? Mnajua kabisa urafiki unakufa na ndio mnachotaka.
Wanaume wenzangu sisemi hivi kuwatetea marafiki ambao wana nia mbaya dhidi yako hapana bali wanawake pia huwa wana body language zao, manzi anaeza akakutizama tu ukajua anakutaka, sasa hawa wanawake wa namna hii ndio huwa wanaonyesha ishara hizi then masela wanashindwa kuvumilia, inabidi watose ndoano majini.
Mnaweza mkawa mpo kwenye party unakuta mwanamke wako anamrembulia mwamba huku we hujui kiendeleacho, after then jamaa anaona kumbe huyu manzi ni chama la wana anaona bora apite nae.
Ukikutana na mwanamke wa namna hii anza kuwa makini.
Take care guys, wanawake kuishi nao tutumieni akili nyingi.
Utahitalafiana hadi na mkoa mzima kwa wanawake wa type hii, serious
EDITED.
Wanaume wenzangu huwa inatokea sana kwenye mahusiano kuambiwa na mwanamke uliyenae katika mahusiano "kaka yako kanitongoza" au "rafiki yako ananitongoza", kwa kweli nimejifunza mengi kutoka kwa hili na ninaongea nina uhakika.
Wanawake wana tabia ya ku manipulate akili zetu, that is the only way kwa wao kutu control, wanawake wanachezea sana akili zetu and natuarally wapo hivyo so kama we upo katika beginner level utakubali show.
Mwanamke wa type hii anakuambia hivyo ili.
1-Utengeneze trust kwake kwamba yeye ni mwanamke wa shoka anajua kukwepa mishale, pia haoni mwanaume kama wewe.
2-Anatengeneza uadui kati yako na huyo mtu kwa sababu fulani fulani ili atimize mambo yake.
Huyo mtongozaji anaweza kuwa rafiki yako, ndugu yako au jirani yako, sikatai kweli kuna viwembe wa kula mali za watu lakini kuna namna ya ku solve issue kama hii.
Uzoefu ninao na kwa mifano halisi.
Naongea hili nina uzoefu nalo, mwanamke mwenye msimamo na anayekupenda kweli, asiyetaka ugombane na watu akitongozwa na wanaume wengine ambao kwa namna moja ama nyingine una mahusiano nao kama ndugu au marafiki inabidi yeye mwenyewe asimamie hilo, kwa kuwajibu "nitamwambia boyfriend wangu ukiendelea kunitongoza, naomba unikome mimi sio malaya, ukithubutu tena nitamwonyesha sms zote na nitamwambia".
Hapo midume lazima iogope ni kama pepo limekemewa, lakini wanawake wengi wana hizi tabia anatongozwa na watu wa karibu, halafu ana respond vyema, jamaa anapata nguvu zaidi ya kurusha mashambulizi, sisi wanaume ukiwa unatongoza halafu unaona mdada anaangalia chini huku kakaa kimya hapo unapata nguvu na kuendelea kutoa dozi kwa maneno, ndio maana unakuta mtu anasema " nitakununulia V8 mama" tena kwa ujasiri wakati hata pikipiki uwezo hana. Kwa sababu wanaume tunaamini ukimya nalo huwa ni jibu.
Sasa mwanamke akishadanganywa vya kutosha na akamkubalia jamaa cha kufanya ni kukugombanisha nae rafiki zako ili akiliwa usijue.
1-Hutoamini kama mwanamke wako itatokea siku akatoka na jamaa kwa sababu mwanamke amekuaminisha ana msimamo kwa kukuambia ametongozwa na huyo mtu.
2-Hutopata taarifa zozote kwa sababu mwanamke amaekata mawasiliano kati yako na huyo mtu na wengine.
Hapo hasara mara mbili.
1-Manzi analiwa.
2-Mahusiano na undugu/urafiki unakufa.
Pia kuna wanawake huwa wanakuja katika maisha yako wanakuta mna umoja, mna michongo yenu, una rafiki wengi na una mapenzi na ndugu zako, wakija na tamaa zao ili kutimiza adhma yao ndio huwa mbinu zao.
1-Kuhakikisha urafiki na undugu wenu unakufa ili akiwa ana cheat asipatikane wa kukupa feedback kwa sababu mmegombana nao.
2-Kukufanya umwamini yeye kuliko mwingine yeyote.
So guys chungeni sana na tumieni akili katika hili, mtu wako akija na kiherehere chake eti "fulani ananitaka" we muulize "umemjibu vipi". Hapo ndio utajua huyo kweli ni mtu sahihi ama la.
Na nyie kina dada kama sio makusudi ya kutimiza mambo yenu, unamkuta mtu ana uhusiano mzuri tu na rafiki zake pengine wamesoma toka secondary hadi chuo pamoja, then unaenda kusema hayo maneno unatarajia nini? Mnajua kabisa urafiki unakufa na ndio mnachotaka.
Wanaume wenzangu sisemi hivi kuwatetea marafiki ambao wana nia mbaya dhidi yako hapana bali wanawake pia huwa wana body language zao, manzi anaeza akakutizama tu ukajua anakutaka, sasa hawa wanawake wa namna hii ndio huwa wanaonyesha ishara hizi then masela wanashindwa kuvumilia, inabidi watose ndoano majini.
Mnaweza mkawa mpo kwenye party unakuta mwanamke wako anamrembulia mwamba huku we hujui kiendeleacho, after then jamaa anaona kumbe huyu manzi ni chama la wana anaona bora apite nae.
Ukikutana na mwanamke wa namna hii anza kuwa makini.
Take care guys, wanawake kuishi nao tutumieni akili nyingi.
Utahitalafiana hadi na mkoa mzima kwa wanawake wa type hii, serious
EDITED.