Ohio, Marekani: Polisi wamkamata Padre kwa kukemea utoaji mimba

Ohio, Marekani: Polisi wamkamata Padre kwa kukemea utoaji mimba

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Pichani ni tukio lililotokea huko nchini Marekani Polisi wa Ohio wamemkamata Padre Fidelis Moscinski CFR mapema leo kwa kosa la kusali na kukemea utoaji wa mimba.

1623105802544.png
 
Sikiliza GOP watakavyopiga kelele kuhusu kukamatwa kwa huyu. Wanadai hawataki kuona watoto wanauawa wakati huo huo wanaruhusu bunduki zenye uwezo mkubwa kupatikana kirahisi kama vile unanunua pipi na matokeo yake zimesababisha mauaji mengi ya kutisha ya watoto na watu wazima.
 
Pichani ni tukio lililotokea huko nchini Marekani Polisi wa Ohio wamemkamata Padre Fidelis Moscinski CFR mapema leo kwa kosa la kusali na kukemea utoaji wa mimba.
View attachment 1811931
Wazungu na waarabu si watu wa kuaminika. Eti hawa ndiyo waliowaleteeni dini wakati ni ukoloni mtupu! Hiyo ndiyo Marekani taifa la kigaidi.
 
... ule uhuru wa kuabudu tunaoambiwa umetamalaki Marekani uko wapi? Ule uhuru wa kueleza hisia zako u wapi Marekani? Tena jambo lenyewe kupinga ukatili dhidi ya wasioweza kujitetea! Wasiozaliwa bado!
 
Sikiliza GOP watakavyopiga kelele kuhusu kukamatwa kwa huyu. Wanadai hawataki kuona watoto wanauawa wakati huo huo wanaruhusu bunduki zenye uwezo mkubwa kupatikana kirahisi kama vile unanunua pipi na matokeo yake zimesababisha mauaji mengi ya kutisha ya watoto na watu wazima.
GOP ndio wanaruhusu au katiba ya marekani ndio inaruhusu umiliki wa bunduki??..
BTW umiliki wa bunduki unataka kufananisha na utoaji mimba?.A sensible person with values hawezi shauri mtu kutoa mimba kama haina shida kiafya...
 
... ule uhuru wa kuabudu tunaoambiwa umetamalaki Marekani uko wapi? Ule uhuru wa kueleza hisia zako u wapi Marekani? Tena jambo lenyewe kupinga ukatili dhidi ya wasioweza kujitetea! Wasiozaliwa bado!
Ukigusa maslahi ya modern day Liberals hakuna uhuru tena,...
 
Wazungu na waarabu si watu wa kuaminika. Eti hawa ndiyo waliowaleteeni dini wakati ni ukoloni mtupu! Hiyo ndiyo Marekani taifa la kigaidi.
Dini gani hizo? ndio hizi hizi ambazo zipo duniani kote au kuna dini zilizoletwa afrika tu pekee?
 
Back
Top Bottom