S Sospeter peter New Member Joined Jun 25, 2015 Posts 2 Reaction score 0 Jul 11, 2015 #21 Jamani ee hata me nashindwa kuelewa kama ukiwa na diploma unaweza kuajiriwa? na je ili uweze kupata bachelor degree ninatakiwa nisome combi gan?
Jamani ee hata me nashindwa kuelewa kama ukiwa na diploma unaweza kuajiriwa? na je ili uweze kupata bachelor degree ninatakiwa nisome combi gan?
D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 2,902 Reaction score 1,875 Jul 11, 2015 #22 Umekuja vzr sn mchepuko,Nami nahitaji km college au university inayotoa hyo kitu
HMJr07 New Member Joined Jul 12, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Jul 12, 2015 #23 UDOM nadhani ipo wanajukwaa.
prototypeman JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 288 Reaction score 108 Jul 14, 2015 #24 Nenda mineral resource institute Dodoma wana cert,tech cert na diploma ya hiyo kitu
pcman JF-Expert Member Joined Oct 9, 2008 Posts 742 Reaction score 189 Jul 14, 2015 #25 Huwezi kuwa na certificate ukafanya kazi kwenye oil and gas.
Mu-sir JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 3,621 Reaction score 1,636 Jul 14, 2015 #26 Pale DIT wameanzisha Advances diploma ya Oil and Gas kuanzia mwaka huu watachukua jaribu ku apply kama una Diploma
Pale DIT wameanzisha Advances diploma ya Oil and Gas kuanzia mwaka huu watachukua jaribu ku apply kama una Diploma
P packremy New Member Joined Jul 23, 2015 Posts 3 Reaction score 0 Jul 23, 2015 #27 Ili uchukue dgree comb n PCM, CBG, au PCB lkn pia pale MRI, Dodoma wanatoa diploma ya petroleum geoscience ila sijajua ajira inakuaje baada ya Kuhtm, yeyote mwenye uelewa juu ya hil naomba anambie.
Ili uchukue dgree comb n PCM, CBG, au PCB lkn pia pale MRI, Dodoma wanatoa diploma ya petroleum geoscience ila sijajua ajira inakuaje baada ya Kuhtm, yeyote mwenye uelewa juu ya hil naomba anambie.