Nashukuru. Engine yangu ni 1NZ vvt-i. Niongezee nondo boss.Inatoka kama moshi, inaungua kwenye combustion chamber za engine yako, kafanye service ubadili gaskets, wataalam watakuja kukwambia, anyway ni injini gani hiyo na inapunguza oil kwa kiasi gani?
Hiyo engine ikianza kunywa oil ni bora kununua mswaki, itakusumbua siku zote kila baada ya mda mfupi.Nashukuru. Engine yangu ni 1NZ vvt-i. Niongezee nondo boss.
Amekwambia ni bora ununue mswakiUshauri nifanye nini ili isifike pabaya?
Ni aina ya engine kuliko kuendelea na hiyoSijamwelewa. Nisaidie kujua ana maana gani.
Mswaki ni engine bila vitu kama compressor,starterSijamwelewa. Nisaidie kujua ana maana gani.
Mimi siyo mzoefu kabisa wa mambo ya magari. Naomba univumilie tu ninavyozidi kuuliza. Naomba unifafanulie kwa uwazi kabisa tofauti ya 1NZ vvt-i na hizi mswaki. Ahsante.
ulitumia kama sh ngapi,ufundi na vifaaHata ya kwangu ilikuwa ina shida kama hiyo, fundi akaniambia piston ring zitakuwa zimechoka hivyo tufanye engine overhaul, tukafanya mwaka jana mwezi wa 11, mpaka leo iko poa mpaka muda wa kumwaga oil ukifika oil inakuwa bado iko poa.
ulitumia kama sh ngapi,ufundi na vifaa
'Mswaki' maana yake ni block la injini bila ya kuwa na parts nyingine kama nozzles, coils, starter, compressor, n.k. Injini complete ni ile yenye kila kitu kama ilivyo yako kwenye gari.Mimi siyo mzoefu kabisa wa mambo ya magari. Naomba univumilie tu ninavyozidi kuuliza. Naomba unifafanulie kwa uwazi kabisa tofauti ya 1NZ vvt-i na hizi mswaki. Ahsante.