ok imenibidi niseme.

kelvin unlove

Member
Joined
Mar 10, 2013
Posts
5
Reaction score
0
mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 24 so kutokana na ubize wa kaz ninayo fanya cna muda hata wa kutafuta girlfriend wa kunifariji na kunishauli so ma aim ni kuangalia ndani ya jf kama yupo bac unaweza ni bip kweny no 0757737026 anytime u want.
 
nikibip tu unapiga loh unafanya kadhi gani............
 
Nimebeep hukunipigia, nimepiga nikapokelewa na sauti kama yangu. Tukueleweje? au umepata tayari
 
nakupigia mpenzi.....ukiona 00 mwisho ni mimi.........
 
Hahahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 24 so kutokana na ubize wa kaz ninayo fanya cna muda hata wa kutafuta girlfriend wa kunifariji na kunishauli so ma aim ni kuangalia ndani ya jf kama yupo bac unaweza ni bip kweny no 0757737026 anytime u want.
We kevi, hilo jina la ukoo wako mbona ka tofauti na unalolitaka vileeee.... Au ndo sababu ya kukosa hadi leo?
 
mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 24 so kutokana na ubize wa kaz ninayo fanya cna muda hata wa kutafuta girlfriend wa kunifariji na kunishauli so ma aim ni kuangalia ndani ya jf kama yupo bac unaweza ni bip kweny no 0757737026 anytime u want.

Hiyo kazi gani inayokufanya uwe bize kiasi cha kukosa muda wa ku sosholaizi? Niwapi huko unakofanya kazi ambapo hakuna wasichana uwatongoze, au wewe huendi hata hotelini au hata kwa mama lishe? Unakaa mtaa gani usio na mademu hata ma house girl? Hupandi dalala dala au kama unadrive hupitagi petro stations au hata ohio au kwa macheni? Auendi church au hata msikitini? Huwa hauendagi kwenye sherehe za ndugu na marafiki wala kwenye misiba? We uko bize kiasi gani ? Au wewe ni shetani
,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…