Okoa ndoa hii

watoto wote wakifanyiwa dna
itakuwa timbwili la asha ngedere kila mtaa

Una uhakika?

Kwa huyu mtaka ushauri.....
maji yakishamwagika hayazoleki. Amefanya vibaya sana kumfanyia mumewe anayempenda ukatili kama huu. Sijui hata cha kumshauri zaidi ya kuomba talaka tu.
 
Una uhakika?

Kwa huyu mtaka ushauri.....
maji yakishamwagika hayazoleki. Amefanya vibaya sana kumfanyia mumewe anayempenda ukatili kama huu. Sijui hata cha kumshauri zaidi ya kuomba talaka tu.

kwa kila walioenda muhimbili for dna test
karibu asilimia 40 walikuta watoto sio wao...
get the picture hapo
 
ajiandae tu kwa lolote, zaidi akumbuke mchangani hawachezi peku, utajikata na chupa matokeo yake yawe kama hayo. Namuhurumia huyo mwanaume.... haswa anapoonyesha mapenzi na kumu-appreciate mwenzake kumbe kuna mtu kashajimegea na kuacha mbegu yake.....
 

gaga,ingekua mapema kidogo ungemshauri aichoropoe?!nauliza tu!
 
Nikimfikiri huyu shemeji napata kizunguzungu!
 
auwe mtoto akishazaliwa tu.
kwani huyo ni mwuaji na kama ni kuchagua kati ya mtoto na ndoa ni jukumu lake.
 

Mbona mada kama yakutunga jamani?? somw kwenye nyekundu yaani wiki moja unagunduaje kama umepeta ujauzito?? within a week bora hata ungesema wiki 3
 
Mimi nadhani akubali matokeo yoyote kwani yeye ni mzembe .Na lolote litakalotokea amejitakia mwenyewe kwa sababu amekwenda nje ya ndoa yake,na hata kama alizidiwa kwa nini hakutumia kinga?tatu yeye alitembea nje akijua ni siku za hatari.
 
Hiyo ni element ya Umalaya. Alivyokuwa anajikumbushia kwa huyo chotara Zimbabwe nafsi ilikuwa haimsuti kwamba anamhujumu Mpenzi wake wa Ndoa? Akina dada acheni kutufanyia hivyo, kama unajua mme wako mtarajiwa ana mapungufu kwa nini ukubali kuolewa naye halafu unamsaliti kwenye ndoa? Mtachomwa kwenye jehanamu na mkisikia kiu mtanyweshwa lami inayochemka. Very dissapointing, limtu linakwenda kufanya ngono zembe, hata hali-negotiate kufanya ngono salama kwa kuhofia familia yake, leo limejaa kitoto ambacho si ajabu kinaumwa pamoja na yeye ndo anaomba ushauri. Hakuna ushauri hapa, hayo ndo matokeo ya dhambi na unasubiriwa kwenye hukumu ya milele ambayo ninaamini itakuwa kali sana kwako.
 
Karina wiki moja ni ya kukaa huko,ila yeye anajua ujauzito ni wa nani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…