hahahahaha tuchape maombi mpaka mtoto akitoka afanane na mume wake..Kwa hiyo unataka tuchape maombi hadi hiyo mimba iwe ya mume?
Hiyo ni element ya Umalaya. Alivyokuwa anajikumbushia kwa huyo chotara Zimbabwe nafsi ilikuwa haimsuti kwamba anamhujumu Mpenzi wake wa Ndoa? Akina dada acheni kutufanyia hivyo, kama unajua mme wako mtarajiwa ana mapungufu kwa nini ukubali kuolewa naye halafu unamsaliti kwenye ndoa? Mtachomwa kwenye jehanamu na mkisikia kiu mtanyweshwa lami inayochemka. Very dissapointing, limtu linakwenda kufanya ngono zembe, hata hali-negotiate kufanya ngono salama kwa kuhofia familia yake, leo limejaa kitoto ambacho si ajabu kinaumwa pamoja na yeye ndo anaomba ushauri. Hakuna ushauri hapa, hayo ndo matokeo ya dhambi na unasubiriwa kwenye hukumu ya milele ambayo ninaamini itakuwa kali sana kwako.
Kwa anaeelewa....Mbona hili siyo kubwa sana hivyo; genetic mutation. Case closed.
watoto wote wakifanyiwa dna
itakuwa timbwili la asha ngedere kila mtaa
ww unahofia nywele etc? kwa utaratibu wa viasili/genes, mtoto anaweza kurithi chochote kutoka vizazi ishirini vilivyopita. hata babu yako hajui vizazi kumi vilivyopita,na huyo mume nae halikadhalika! acheni kujistress,kwanza mtoto anaweza kuwa switched at birth,eboo!hosp zetu azembe sana!
hahahahaha tuchape maombi mpaka mtoto akitoka afanane na mume wake..
Wakati anamumbushia hakukumbuka ana ndoa leo ndo anataka kuokoa??!
Aamue kumwambia mumewe ukweli ili wasije wakakabana kabari hosp au anyamaze kusubiria mtoto azaliwe ili kama hafanani sana na ex aendelee na uongo wake.Ila akae akijua vyovyote vile hiyo ndoa ndo kashaimwagia mchanga. na kuuondoa haiwezekani....cha muhimu atafute jinsi ya kudeal na mtokeo yanayoweza kujitokeza mbeleni..KUACHIKA likiwa moja wapo.
Ukimwona mwanaume anakuletea mtoto wa nje dunia ya leo ujue huyo ni zuzu. Hii siyo dunia ya kumwamini mwanamke mpaka kulana naye pekupeku. Hofu ya Maambukizi na kuiepnda familia vinawatawala wnaume wengi wa dunia ya sasa. Huyo aliyekubali kuliwa pekupeku na rafiki anayezurura akitengeneza barabara bila kujali afya yake na ya mpenziwe ametenda kosa ambalo halivumiliki.Ni kawaida yenu kukimbilia kwenye neno malaya nyie huwa mnaitwa nani mnavowapelekeaga wake zenu watoto mliozaa huko nje tena wengine bila haya sio mmoja ...hata mama tofauti.
Ukimwona mwanaume anakuletea mtoto wa nje dunia ya leo ujue huyo ni zuzu. Hii siyo dunia ya kumwamini mwanamke mpaka kulana naye pekupeku. Hofu ya Maambukizi na kuiepnda familia vinawatawala wanaume wengi wa dunia ya sasa. Huyo aliyekubali kuliwa pekupeku na rafiki anayezurura akitengeneza barabara bila kujali afya yake na ya mpenziwe ametenda kosa ambalo halivumiliki.Ni kawaida yenu kukimbilia kwenye neno malaya nyie huwa mnaitwa nani mnavowapelekeaga wake zenu watoto mliozaa huko nje tena wengine bila haya sio mmoja ...hata mama tofauti.