Okra na Sakho waanze kila mechi na Phiri pale mbele

Okra na Sakho waanze kila mechi na Phiri pale mbele

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Simba inabidi Okra asikae benchi, speed yake inaipa Simba nguvu. Namshauri Mgunda asimsikileze Matola.

Okra anajua anaspeed anapiga, hakuna haja ya kumuweka Kyombo mbele tunachelewa kushinda, baadae toa Sakho weka Kibu Denis, pia Chama aambiwe anapoza sana mashambulizi.

Timu ikishambulia yeye akiwa na mpira anatulia nao kwanza badala auchie kwa haraka hili ni tatizo kubwa kwa Chama.

Pia Simba ikishambulia wajitahidi sana kuziba, jana Prison wangekuwa vizuri kwenye kaunta tulikuwa tunakufa mawili kwa sababu ya space walizoziacha simba kule nyuma.

Simba waongeze speed ya kucheza mpira sometime wanacheza taratibu mnooooo.
 
Simba inabidi Okra asikae benchi, speed yake inaipa Simba nguvu. Namshauri Mgunda asimsikileze Matola.

Okra anajua anaspeed anapiga, hakuna haja ya kumuweka Kyombo mbele tunachelewa kushinda, baadae toa Sakho weka Kibu Denis, pia Chama aambiwe anapoza sana mashambulizi. Timu ikishambulia yeye akiwa na mpira anatulia nao kwanza badala auchie kwa haraka hili ni tatizo kubwa kwa Chama.

Pia Simba ikishambulia wajitahidi sana kuziba, jana Prison wangekuwa vizuri kwenye kaunta tulikuwa tunakufa mawili kwa sababu ya space walizoziacha simba kule nyuma.

Simba waongeze speed ya kucheza mpira sometime wanacheza taratibu mnooooo.
Zile kaunta zilisababishwa na sub kwa kiasi kikubwa. Onyango na Kennedy wote wazito hawakupaswa kucheza pamoja. Kama jana zile kaunta mojawapo ingezaa goli leo ungeona jinsi washabiki wangevyolalamikia ile sub.
 
Simba inabidi Okra asikae benchi, speed yake inaipa Simba nguvu. Namshauri Mgunda asimsikileze Matola.

Okra anajua anaspeed anapiga, hakuna haja ya kumuweka Kyombo mbele tunachelewa kushinda, baadae toa Sakho weka Kibu Denis, pia Chama aambiwe anapoza sana mashambulizi. Timu ikishambulia yeye akiwa na mpira anatulia nao kwanza badala auchie kwa haraka hili ni tatizo kubwa kwa Chama.

Pia Simba ikishambulia wajitahidi sana kuziba, jana Prison wangekuwa vizuri kwenye kaunta tulikuwa tunakufa mawili kwa sababu ya space walizoziacha simba kule nyuma.

Simba waongeze speed ya kucheza mpira sometime wanacheza taratibu mnooooo.
Ule mpira ambao Simba Sc huwa inacheza dkk za mwisho ikiwa imefungwa ndo unatakiwa uwe mpira wao wakati wote, kocha inabidi aongee na wachezaji.
 
Okra na Okwa si wachezaji was kuanzia benchi,iko tatizo sehemu pale si bure
tatizo Matola,unampaje namba Muzamiru mpoteza hovyo mipira,mido asiyejua kupiga pasi,hajui kuanzisha mashambulizi,hajui kuituliza au kuiongoza timu,alafu anawaacha wapambanaji wakina Okwa na Okrah nje?
 
tatizo Matola,unampaje namba Muzamiru mpoteza hovyo mipira,mido asiyejua kupiga pasi,hajui kuanzisha mashambulizi,hajui kuituliza au kuiongoza timu,alafu anawaacha wapambanaji wakina Okwa na Okrah nje?
Mzamiru tena? Yule ni VIP! yaan ni wa muhimu kuliko wewe!
 
Okra aliyecheza jana (sub) aanze namba ya Sacko.
Anapress anapiga mashuti mazito.

Yule Okwa wa virasta bado sijaona kipaji chake, ajifunze benchi kwanza.
 
tatizo Matola,unampaje namba Muzamiru mpoteza hovyo mipira,mido asiyejua kupiga pasi,hajui kuanzisha mashambulizi,hajui kuituliza au kuiongoza timu,alafu anawaacha wapambanaji wakina Okwa na Okrah nje?
Mbaya zaidi mzamiru analiza dakika 90, utani ulioje?
 
Okra aliyecheza jana (sub) aanze namba ya Sacko.
Anapress anapiga mashuti mazito.

Yule Okwa wa virasta bado sijaona kipaji chake, ajifunze benchi kwanza.
Pamoja sana Mkuu. Binafsi ubora anaosifiwa Okwa sijauona. Kwa Okrah sina tatizo.
 
Inategemea na game plan, jana walianzishwa wazawa wengi kwasababu ile mechi ni ya kutumia mabavu, na wazawa kwa wazawa wanajuana.

Lakin pia timu bado inasukwa na hatujapata first eleven bado. Tukubali pia toka Okrah amesajiliwa na simba hajawahi kuonyesha kiwango kikubwa namna ile, hivyo hiyo ni nzuri kwasababu italeta ushindani wa namba. Naamini mpaka kufikia January, Simba itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Subira please
 
Huko KUPRESS unajua maana yake? Au umelichukua kama anavyolitumia PRIVALDINHO??
Mi nimemaanisha hivi

"move or cause to move into a position of contact with something by exerting continuous physical force"

Wewe umeelewa nini hadi unauliza ?
Sipendagi maswali ya wavivu wa kujifunza.
Hiyo ulifundishwa katika topic ya

"Introduction to Elementary Physics"

Kidato cha Kwanza Muhula wa Kwanza. Pamoja na mambo ya
Vulume
Density
Velocity
Pressure, lenye kitendo Press.
 
Kwangu hichi ndicho kikosi Cha Simba kufika makundi na nusu fainali ya champions league kikiaminiwa nimepanga Kwa namba (1) MANULA (2) KAPOMBE (3)ZIMBWE (4) ONYANGO (5)INONGA (6)KANOUTE (7)OKRA (8)OKWA (9)PHIRI (10) CHAMA (11)SAKHO formation 4-3-3 Sijamuweka Outtara Kwa sababu Hana fighting Spirit ya ONYANGO na Hana anticipation kama ya ONYANGO ,Pia partnership yake na INONGA Ina matundu Mengi Sana ,nimemuweka OKWA Kwa sababu the boy is a boller na ajapewa nafasi katika original position kama alivyokuw Rivers ,Buildup ya Simba inapaswa kuanzia kwake anao uwezo kuchukua mpira chini na akageuka bila shaka na kupiga pasi za kuvunja mistari ya team pinzani ,pia anayo pumzi kushuka na kupanda umbo dogo lakini Brain kubwa.
 
Kwangu hichi ndicho kikosi Cha Simba kufika makundi na nusu fainali ya champions league kikiaminiwa nimepanga Kwa namba (1) MANULA (2) KAPOMBE (3)ZIMBWE (4) ONYANGO (5)INONGA (6)KANOUTE (7)OKRA (8)OKWA (9)PHIRI (10) CHAMA (11)SAKHO formation 4-3-3 Sijamuweka Outtara Kwa sababu Hana fighting Spirit ya ONYANGO na Hana anticipation kama ya ONYANGO ,Pia partnership yake na INONGA Ina matundu Mengi Sana ,nimemuweka OKWA Kwa sababu the boy is a boller na ajapewa nafasi katika original position kama alivyokuw Rivers ,Buildup ya Simba inapaswa kuanzia kwake anao uwezo kuchukua mpira chini na akageuka bila shaka na kupiga pasi za kuvunja mistari ya team pinzani ,pia anayo pumzi kushuka na kupanda umbo dogo lakini Brain kubwa.
Katikati kuna vuja hapo Ibd uweke double pivot ya kanoute na mkude au mzamiru au Akpan au kapama....ila ichi ni kikosi kizuri kwa Simba tukiwa kwa Mkapa kwani tutahitaji kushambulia ila kwa ugenini sio kikosi kizuri

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom