fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
soma ujumbe vizuri,mchezaji ama atakuwa anacheza,ama yuko benchi ama kuna taarifa zake kuwa ni majeruhi,kama pote huko hayuko,ndipo nauliza yuko wapi,sasa wewe husomi ujumbe unakurupuka kuandika kama una tumbo la kuharaKwahiyo unataka wachezaji wote 30 waingie uwanjani?
Najua yupo yanga,lakini wapi?Yupo Yanga.
Wachezaji ndani ni 11, benchi wanakuwa 9. Kwahiyo kuna wachezaji kama wengine lazima wake jukwaani huko bila kujali ni majeruhi au vipisoma ujumbe vizuri,mchezaji ama atakuwa anacheza,ama yuko benchi ama kuna taarifa zake kuwa ni majeruhi,kama pote huko hayuko,ndipo nauliza yuko wapi,sasa wewe husomi ujumbe unakurupuka kuandika kama una tumbo la kuhara
Mwanamke unaipenda yanga wewe hatari,ila jiandae next season .Kama hapa unamuona basi jua yupo kajaa tele..!
View attachment 2989863
Washindi wa tatu mna hasiraaa π πYanga hayanaga akili usishangae kuyaona yanakuja na matusi
Wewe hamia Yanga ule raha, matusi ni utambulisho wa kolo, kama hivi huwezi kutukana wahi siti yako jangwani huko uliko si kwakoYanga hayanaga akili usishangae kuyaona yanakuja na matusi
π€π€Washindi wa tatu mna hasiraaa π π
Tatizo rangi ya mbogamboga ni janga la taifa, wakianza kuvaa nyekundu nishtue.π€Wewe hamia Yanga ule raha, matusi ni utambulisho wa kolo, kama hivi huwezi kutukana wahi siti yako jangwani huko uliko si kwako
ni kweli lakini hata jukwaani huwa haonekaniWachezaji ndani ni 11, benchi wanakuwa 9. Kwahiyo kuna wachezaji kama wengine lazima wake jukwaani huko bila kujali ni majeruhi au vipi
acha upuuziTatizo rangi ya mbogamboga ni janga la taifa, wakianza kuvaa nyekundu nishtue.[emoji851]
π€acha upuuzi
nimemuona rasmi leo kwenye mazoezi ya yanga,akiwa na furaha kabisa,yupo okraYsajili wa kukurupuka