OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
This is not a Linguistic classPoor Queen's lingo, can you drop up?
It's King's Lingo now.....Poor Queen's lingo, can you drop up?
Acha ujinga kwani lugha yake ya asili hii? Mbona mzungu akiongea kiswahili kibovu unakenua meno ati ona amejitahidi! Tuache kukatishana tamaa.Poor Queen's lingo, can you drop up?
Acha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!Acha ujinga kwani lugha yake ya asili hii? Mbona mzungu akiongea kiswahili kibovu unakenua meno ati ona amejitahidi! Tuache kukatishana tamaa.
Wewe ndio mjinga namba moja. Uliona wapi mtu akajifunza bila kufanya makosa.Acha kutetea ujinga,.. angeandika kiswahili tu. Poor you!
Unafikiri huyu ni mtotot wa chekechea au secondary school?Wewe ndio mjinga namba moja. Uliona wapi mtu akajifunza bila kufanya makosa.
Mimi nasisitiza aendelee kuandika kwa kiingereza ili hatimaye akimudu vizuri.Moja ya watu niliokuwa nawahudu mankusoma michango yao humu jukwaani, kabla ya kufanya maamuzi yabkujiunga, ni wewe.
Kwa uwezo huu, naona imani yangu ilonidanganya.
Siku nyingine uandike tu kiswahili.
Mimi nasikitika, badala ya kutumia muda huu kujifunza, ilipasa muda huu, autumie kufundisha watoto wake hii lugha.Mimi nasisitiza aendelee kuandika kwa kiingereza ili hatimaye akimudu vizuri.
Msamehe bure tu, bado akili hazijamrudia muache anene kwa lugha.Moja ya watu niliokuwa nawahudu mankusoma michango yao humu jukwaani, kabla ya kufanya maamuzi yabkujiunga, ni wewe.
Kwa uwezo huu, naona imani yangu ilonidanganya.
Siku nyingine uandike tu kiswahili.
Kolo kwenye kizungu unatia huruma ,kiswahili ungejaza page nzimaThis was our game, we supposed to win.
We can actually blame you for Simba' failure. I say failure cause it was a must-win game. I think the one problem you had was that purely selfish. I can firmly say so.
You played a stunning game and you deserved to be a man of the match. However, you could do better than that.
There's many, many times where you could pick out a good pass, deliver a good cross, and you went for a shot yourself. That's the one area I would say you let Simba down, you were a bit too selfish and other players might looking for you too eagerly.
I recommend to you and the technical team, you are required to stop selfishness.
Belo….Kolo kwenye kizungu unatia huruma ,kiswahili ungejaza page nzima