Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Leo ni Siku ya wanawake wanao ishi kijijini, Siku hii huadhimishwa kila Oktoba 15 ikilenga kutambua Haki za Wanawake wanao ishi kijijini pamoja na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo
Siku ya Kimataifa ya wanawake waishio kijijini inaweka msisitizo kwenye kushughulikia matatizo yanayowakabili Wanawake, na kukuza uwezeshaji wao pamoja na kutimiza Haki zao za Msingi
Siku ya Kimataifa ya wanawake waishio kijijini inaweka msisitizo kwenye kushughulikia matatizo yanayowakabili Wanawake, na kukuza uwezeshaji wao pamoja na kutimiza Haki zao za Msingi