OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii sasa ni AIBU kwa Okwi, mechi mbili goli sita; anayefuata kwa mbali ana goli 2?? Dah!View attachment 590783
Kama picha inavyosoma,li-Okwi limecheza mechi mbili tu goli 6 huku Yanga timu nzima ikiwa imecheza mechi 3 wamepata tugoli tuwili.
Naona jina la Muhenga limepotea tumebaki kumwita sisi tu.Wote kimyaaaaa
Tunamzungumzia Okwi,top scorer msimu uliopita alikuwa na goli ngapiLigi bado mbichi
Hata kichuya alitangulia hvyo hvyo mwishowe....,.....Tunamzungumzia Okwi,top scorer msimu uliopita alikuwa na goli ngapi
Kichuya sio streka wewe,hata asingefunga yeye kazi yake ni assist na makrosi,muulize Ajibu misimu miwili magoli 8Hata kichuya alitangulia hvyo hvyo mwishowe....,.....
Sawa hata mfungaji bora wa mwaka msimu ulioisha hakuwa straika....Kichuya sio streka wewe,hata asingefunga yeye kazi yake ni assist na makrosi,muulize Ajibu misimu miwili magoli 8
Sawa hata mfungaji bora wa mwaka msimu ulioisha hakuwa straika....
Time will tell....Mfungaji bora wa msimu uliopita alikuwa na goli 14,ina maana ndani ya mechi 5 za mwanzo Okwi anaweza kamfikia
utajuana na okwi wenu subirini kwanza ligi iisheTunamzungumzia Okwi,top scorer msimu uliopita alikuwa na goli ngapi