sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Okwi amepeleka malalamiko TFF ya kuidai Yanga USD 62,000 [zaidi ya 107m].
Mchangunuo wa huo mkwanja ni kuwa hakulipwa USD 50,000 ambazo ni ada ya usajili na USD 12,000 ambazo ni kama mshahara ambao hakulipwa.
Amewapa dedline mpaka 15/02/2015. Amedai wakigoma kumlipa, mahakama itafanya kazi yake. Nakala imepelekwa kwa Mhindi pamoja na FIFA.
NB: Eeeh Mungu saidia huyu mja wako apate haki yake.
Mchangunuo wa huo mkwanja ni kuwa hakulipwa USD 50,000 ambazo ni ada ya usajili na USD 12,000 ambazo ni kama mshahara ambao hakulipwa.
Amewapa dedline mpaka 15/02/2015. Amedai wakigoma kumlipa, mahakama itafanya kazi yake. Nakala imepelekwa kwa Mhindi pamoja na FIFA.
NB: Eeeh Mungu saidia huyu mja wako apate haki yake.