OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mfalme kwa sababu amebadilika,kikosi kilichotakiwa ndio hiki,Zimbwe ndani,Mkude ndani,Mavugo na Okwi pale mbele,Boko na Luizio out,Walilia point fc kwenye ubora wenu mkijipatia ushindi kwa vibonde basi mnaringa.... Leo Omog anaonekana mfalme
Ligi bado mbichi pamoja na hayoMfalme kwa sababu amebadilika,kikosi kilichotakiwa ndio hiki,Zimbwe ndani,Mkude ndani,Mavugo na Okwi pale mbele,Boko na Luizio out,
sio vibonde kiongozi ndio maana wapo ligi kuuWalilia point fc kwenye ubora wenu mkijipatia ushindi kwa vibonde basi mnaringa.... Leo Omog anaonekana mfalme
Mtakula 5 tar 28Ligi bado mbichi pamoja na hayo
View attachment 613911
Mchezaji wa Simba Emanuel Okwi amefunga magoli nane (8) hadi sasa katika mechi sita za ligi alizocheza msimu huu, magoli mengi zaidi ya timu nzima ya Yanga ambayo imekuwa na magoli sita tu
Amefunga magoli hayo (8) dhidi ya Ruvu Shooting (4), Mwadui (2) na Mtibwa Sugar (1), Njombe (1)