Yanga watamlipa nini π π π π π π π πKati ya habari zinazo trend Leo Ni kwamba wanajagwani waachana rasmi na Golikipa wao Klause Kindoki ili kuupisha usajili wa mchezaji wa kimataifa (mshambuliaji). Je Okwi kuwa mwana jangwani!?
View attachment 1168423
Yanga ipi???..hii iliookota magarasa yaliyotemwa na simba baada ya kushindwa majaribio pale simbaAtacheza namba ya nani kwa Yanga ya msimu huu! Labda akajaribu Azam fc.
Sawa cha msingi msianze kulialia sijui simba wanabebwa...sijui simba wanapuliza dawa....hautaki kulia lia mwaka guuNgoja tuone kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza ili tuweze kufanya tathmini kati ya hayo magarasa, au wale wabrazili wa soka la ufukweni.
Kwenu kelele na majigambo ni ada..Mnaweka hata mke rehani mkifungwa kama kawaida mnaanza kulia kama watoto.Ngoja tuone kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza ili tuweze kufanya tathmini kati ya hayo magarasa, au wale wabrazili wa soka la ufukweni.
Hawakushindwa majaribio..mikia hawakuwa na hela ya kuvunja mikataba Yao.. lini mikia wamesajili mchezaji mwenye mkataba???hata hapa BongoYanga ipi???..hii iliookota magarasa yaliyotemwa na simba baada ya kushindwa majaribio pale simba
kwahiyo yanga wamevunja mikataba yao??yanga hawahawa wanaotumia harambee kukusanya hela za kuwalipa wachezaji mishahara π π π π ..kupata vichekesho kama hivi andika matikiti fc alafu tuma kwenye namba hii BIGWA MOROGOROHawakushindwa majaribio..mikia hawakuwa na hela ya kuvunja mikataba Yao.. lini mikia wamesajili mchezaji mwenye mkataba???hata hapa Bongo
Jibu hoja..lini mikia wamevunja mkataba hata hapa Bongo..Yanga walivunja wa Gadiel Azam..Chirwa Platinum..nyie lini?Shonga na Bwalya mmeshindwa..alafu tuko level za Al Ahly ,Mamelod,TP Mazembe ujinga mtupukwahiyo yanga wamevunja mikataba yao??yanga hawahawa wanaotumia harambee kukusanya hela za kuwalipa wachezaji mishahara π π π π ..kupata vichekesho kama hivi andika matikiti fc alafu tuma kwenye namba hii BIGWA MOROGORO
Sasa kati ya mimi na wewe nani hajibu hoja...soma pale title ya thread inasemaje???thread inasema okwi kutua yanga sc....thread haihusu timu gani huwa inasajili wachezaji kwa kuvunja mikataba..kama unataka kujua timu gani huwa inasajili wachezaji kwa kuvunja mikataba anzisha thread yake tutakuja na data kuchangia thread yako...thread hii inahusu okwi kutua yanga...ndo nimeuliza swali mchezaji gani anaejielewa anaweza toka timu kama simba ya sasa alafu akaenda timu inayoendeshwa kwa harambeee????bakuli fc ambayo wachezaji wake wapo huko bigwa morogoro wanashindia matikitiJibu hoja..lini mikia wamevunja mkataba hata hapa Bongo..Yanga walivunja wa Gadiel Azam..Chirwa Platinum..nyie lini?Shonga na Bwalya mmeshindwa..alafu tuko level za Al Ahly ,Mamelod,TP Mazembe ujinga mtupu
Safari hii hata rais mwenyewe wa tff ambaye pia ni shabiki lia lia wa mbumbumbu fc aamue kuchezesha hiyo mechi, na dab ashike kibendera, bado mtafungwa tu! Yanga msimu huu hatutaki kabisa mazoea na wadudu waishio hifadhini.