George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Huyo anawahusu wanaija sisi wabongo anatuhusu Mtanzania anaye tuwakilisha huko ambaye ni Alikiba,kumpigia kura Alikiba link [emoji116] [emoji116]
MTV EMA 2016 | 6.11.2016 | Rotterdam | Vote - Best Africa Act
Pamoja jembe mimwenyewe namgongea kiba kwa Sana!View attachment 408503 View attachment 408504
Me nishaangusha KURA yangu kwa Olamide kitambo sana..!
Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo
Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo
Safi kabisa...Pamoja jembe mimwenyewe namgongea kiba kwa Sana!View attachment 408511
Mkuu unaweza kuta ni Mbongo mwenzetu sema ana tabia za wivu!I hope huyu ni mnigeria aliyepo tanzania anajaribu kumpigia promo mwanzake.
Nina imani hakuna mtanzania na akili.zake anaweza fanya huu uharo kwamba badala ya kumsupport mtz mwenzake ampigie promo mnaija.
Sisi tunasifika kwa umoja wetu. Wee mnaija utukome,, tusianze kukufuatilia.
Mkuu unaweza kuta ni Mbongo mwenzetu sema ana tabia za wivu!
Wewe MWEHUH nini..!?I hope huyu ni mnigeria aliyepo tanzania anajaribu kumpigia promo mwanzake.
Nina imani hakuna mtanzania na akili.zake anaweza fanya huu uharo kwamba badala ya kumsupport mtz mwenzake ampigie promo mnaija.
Sisi tunasifika kwa umoja wetu. Wee mnaija utukome,, tusianze kukufuatilia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]View attachment 408503 View attachment 408504
Me nishaangusha KURA yangu kwa Olamide kitambo sana..!
Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo
Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo
Wewe MWEHUH nini..!?
Kuwa Mtanzania ndio kiwe kigezo cha kupenda KIBOVU na kukikataa kilicho BORA..!?
Sipendi ujinga mimi..!
Ebo..!!!
Nimuonee Ali Kiba wivu..!!?Mkuu unaweza kuta ni Mbongo mwenzetu sema ana tabia za wivu!
Wewe MWEHUH nini..!?
Kuwa Mtanzania ndio kiwe kigezo cha kupenda KIBOVU na kukikataa kilicho BORA..!?
Sipendi ujinga mimi..!
Ebo..!!!
Utakua mgeni mitaaa hii kuna kampen ilianzishwa kipindi fulani cha vote for davido nahisi saa iv imebadilo muelekeoI hope huyu ni mnigeria aliyepo tanzania anajaribu kumpigia promo mwanzake.
Nina imani hakuna mtanzania na akili.zake anaweza fanya huu uharo kwamba badala ya kumsupport mtz mwenzake ampigie promo mnaija.
Sisi tunasifika kwa umoja wetu. Wee mnaija utukome,, tusianze kukufuatilia.
Ushapiga kura ndugu..!?Tanzaniaa eeeeeh nchi yangu oooh vuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu............
Karibu tz naona hukuwepo humu mwaka jana.... Ngoja nkamvotie starboy mieI hope huyu ni mnigeria aliyepo tanzania anajaribu kumpigia promo mwanzake.
Nina imani hakuna mtanzania na akili.zake anaweza fanya huu uharo kwamba badala ya kumsupport mtz mwenzake ampigie promo mnaija.
Sisi tunasifika kwa umoja wetu. Wee mnaija utukome,, tusianze kukufuatilia.