Old model rav 4

Old model rav 4

ntogwisangu

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
524
Reaction score
164
Habari wandugu!!!natafuta old model rav 4 katika show room za Dar!!Show room ipi naweza pata old model rav 4,ambayo haijachakachuliwa kwa 15M?Ntashukuru kwa msaada wenu!!
 
Habari wandugu!!!natafuta old model rav 4 katika show room za Dar!!Show room ipi naweza pata old model rav 4,ambayo haijachakachuliwa kwa 15M?Ntashukuru kwa msaada wenu!!

zipo show room nyingi....zunguka maeneo ya kinondoni kuanzia moroko hadi mkwajuni kawawa road....15m nyingi kwa gari hio usiwaambie bajeti yako waulize bei kwanza. 10-13m unapata. tatizo watu wa jf humu sound nyingi ningekupa msaada zaidi.
 
Zipo nyingi tu, kwa hiyo bajeti yako unaweza kupata hata new model...
 
15m ni nyingi sana mkuu.
Halafu ni ya milango mingapi?
Pia usiwaambie Budget utalizwa Bure.
Halafu Madalali sasahivi wata Ku PM,maana wameona mshiko mnene.
Pia jaribu kumtafuta Fundi mzuri umlipe angalau hata elf 50 kwa siku hiyo ili mzunguuke nae,la sivyo utanunua majanga kwa ubahili.
Mie hiyo ndio huwa nafanya,nikitaka Gari lazima nimtafute fundi na nimlipe siku hiyo ili nipate kitu dhamana na fundi wangu hajaniangusha.Bongo hiyo unaweza kukuta R4 ina Engine ya Starlet shauri yako.
 
15m kwa Old model? Mkuu usimtafute dalali, nenda mwenyewe showroom. Old model rav4s zina bei ndogo kuliko hiyo bei. Utapigwa 10% mbaya na baada ya muda jamaa atatumia hela alokupiga kununua gari lake!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Ukihisi kutapeliwa huko Dar funga safatri uje Zanzibar,show rooms za kumwaga,licha kwamba kodi nasikia imepanda
 
15m ni nyingi sana mkuu.
Halafu ni ya milango mingapi?
Pia usiwaambie Budget utalizwa Bure.
Halafu Madalali sasahivi wata Ku PM,maana wameona mshiko mnene.
Pia jaribu kumtafuta Fundi mzuri umlipe angalau hata elf 50 kwa siku hiyo ili mzunguuke nae,la sivyo utanunua majanga kwa ubahili.
Mie hiyo ndio huwa nafanya,nikitaka Gari lazima nimtafute fundi na nimlipe siku hiyo ili nipate kitu dhamana na fundi wangu hajaniangusha.Bongo hiyo unaweza kukuta R4 ina Engine ya Starlet shauri yako.


kichwa cha mkoa hicho umiza kaka!...lol!
 
Ktk manunuzi yako kuwa makini na magari ya zanzibar na dubai mengi yao huwa wanachakachua km na hata rangi pia .jitahidi kidogo za kutoka japan.ingawa nazo zipo zilizochakachuliwa
 
Nenda showroom ukafanye window shopping kwanza cyo lazima huende cku ya kununua! Kwa bei yako utapata gari zuri ukiwa na refa mzuri ila ukienda kichwa kichwa utapigwa
 
Wasiliana Naomi Nina rav 4 old model 95 mwaka.imetembea km 130000 no Yang 0755262179 no no mpya kabisa
 
Wasiliana Naomi Nina rav 4 old model 95 mwaka.imetembea km 130000 no Yang 0755262179 no no mpya kabisa

1995....km 130,000....mpya kabisa.......maneno hayo hayawezi kuwa sentensi moja
 
Habari wandugu!!!natafuta old model rav 4 katika show room za Dar!!Show room ipi naweza pata old model rav 4,ambayo haijachakachuliwa kwa 15M?Ntashukuru kwa msaada wenu!!

kaka nipo safari ila kuanzia juma tatu unaweza nitafuta kwenye show room yetu uje uchague zpo . kama una swali unaweza niuliza.
 
Back
Top Bottom